Recent content by Frank I Ritte

  1. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

    Ila kuna wafanyakazi wengi wanaolipwa mishahara walinzi wahudumu usafi mashushushu na wa kawaida na chakula kinapikwa wanakula wafanyakazi wote na wagonjwa n.k mimi si muumini wa pale ila kuna kazi nyingi zinazofanyika pale
  2. Frank I Ritte

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina miaka zaidi ya 25 na sina mume wala mtoto, nachanganyikiwa

    Njoo pm.
  3. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Mwijaku ana juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu ya dini aliyonayo

    Maisha yake yanakuhusu nini, angalia yako.
  4. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Mwijaku ana juzuu 30 ila maisha anayoishi hayaendani kabisa na elimu ya dini aliyonayo

    Kazi yake ipo wazi, havunji sheria za nchi kosa lake ni lipi, acheni kumwonea wivu.
  5. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Wakristo mmejifunza kwanani kuoa/ndoa wakati bwana Yesu hakuoa?

    YOHANA (8:23) Akawaambia, Ninyi ni wa chini, mimi ni wa juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
  6. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Wakristo mmejifunza kwanani kuoa/ndoa wakati bwana Yesu hakuoa?

    Yesu ni Mtakatifu wa Mungu haoi.
  7. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania CCM walishindwaje kumtibia Jecha nje ya nchi licha ya kuwabeba kwenye Uchaguzi Mkuu 2015?

    Yawezekana wamemuondoa wao kimya kimya asije pasua jipu kama balozi Karume.
  8. Frank I Ritte

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimedondoka kwenye penzi zito na bosi wangu

    Acha ushamba lugha iwe moja andika kwa kiswahili au kiingereza usichanganye.
  9. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuendelee kukataa mikataba mibovu

    Anayevunja ana nia njema kuliko aliyesaini.
  10. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waacha shule na kwenda kufanya kazi za ndani kutokana na michango kuwa mingi mashuleni

    Dp World wametoa hongo ya dola million 200 zimegawanywa kwa wezi wachache.
  11. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waacha shule na kwenda kufanya kazi za ndani kutokana na michango kuwa mingi mashuleni

    Hakuna familia ya baba na mama isiyopenda watoto wao wasome, tatizo ni ugumu wa maisha unaosababishwa na kipato duni cha baadhi ya familia maskini.
  12. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Bilionea Mwislamu ashinda kibali cha kugeuza mojawapo ya maeneo maarufu ya London kuwa msikiti

    What light, Islam belongs to the Catholics who are the founders of this religion, Faiza Fox and her colleagues know nothing.
  13. Frank I Ritte

    JamiiForums Tanzania Je, inafaa kunyonyana kisheria ya dini

    Haya kasana.
Back
Top Bottom