Recent content by Frank Hood

  1. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ofisini kwetu ujipatie Makonteina bora na ya kisasa

    Hamkopeshi mkuu...nilipe kwanza down payment and then nyingine nimalizie taratibu ila kontena unipe niendelee kufanya biashara
  2. Frank Hood

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

    Amechelewa kuomba talaka....
  3. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichonitokea madalali wa kibongo wana tamaa sana

    Nimejifunza kitu apa
  4. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nitaanza na mm kuwawekeaa mikeka tufaidishane au tufe wte
  5. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Vunjeni benchi zima la ufundi Taifa Stars

    Kwani wale wachezaji wazungu wanaocheza ulaya walioku wanakuja zaman kucheza mechi za Taifa Stars siku hz wapo wapi?
  6. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Snura aachana na muziki wa kidunia, aomba nyimbo zake zisipigwe tena, na picha zake zisipostiwe akifariki dunia

    Vp kuhusu vijana na watoto wengi aliowaharibu kupitia hzo video na picha zake??....alishakuwa agent wa shetan anawarudisha vp katka mstari sahihi?
  7. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Naweza kupata vibali vya Microfinance kwa mtaji wa Milioni 5?

    Nahitaji hyo ya kumlipa aliyekwisha anza biashara nitumie vibali vyake
  8. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Mida ya saa tisa usiku mpaka saa kumi na moja ndio mida ya kupata nguo na viatu grade 1 kwa bei rahisi kutoka kwa wauza mitumba

    Ilala sehem gani kwenye nguo na wanauza viatu na ilala ni kila siku wanafungua vipya au kuna siku maalum?
  9. Frank Hood

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

    Natamani sana kupata watoto especially mapacha tena wawe mchanganyiko(kike/kiume) au wa kike pekee....ila sijui napataje....Mdada aliyeko tayari tufanye jambo basi☺️☺️☺
  10. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

    Ndio shida ya vyeo vya kupeana kisiasa...had wanapata watu wasio na credibility. Unaweza kuta u-judge alipewa coz alikua anatolewa kwenye nafasi aliyopo ili kumpisha mwingne na hakukuwa na sehem ya kumpeleka lkn akapewa tu km kumpoza.Wengi sana wamepewa u-judge kwa design hyo
  11. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Wakamatwa kwa kujitangaza kutoa huduma ya internet ya Starlink Instagram

    Tunaweza jua vifaa vinauzwa wapi na ni vifaa gani vinahitajika?Dm mkuu km una info
  12. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani

    Kama washapewa hzo degree....chuo wazi revoke cause wenyewe wamekiri hadharan kuwa wali cheat kwenye mitihan
  13. Frank Hood

    JamiiForums Tanzania Ujenzi rahisi kwa kutumia interlock blocks, jenga popote, jenga sasa

    Bado unafanya hii kazi,?
Back
Top Bottom