Recent content by franciz

  1. franciz

    Kumbe wanaume wana vichwa viwili

    Ukweli anaujua mbakaji binafsi sijawahi kubaka so sijui
  2. franciz

    Hali ya uchumi wa nchi imeimarika sana

    Wachache ndiyo vinala wa kulalamika
  3. franciz

    Hongereni wabunge kwa kuonesha uzalendo

    Uzalendo mwenyewe ndo huu haswa
  4. franciz

    Mheshiwa Rais Dkt. Magufuli, Ukatibu Mkuu wa CCM mpe Abdallah Bulembo

    Eti wewe ni nabii umeletwa na Mungu kuwaongoza watu dunia!! huoni hata Aibu? Ni Mungu gani huyo ambaye unautani naye? Hujui hata kazi za nabii na bado unajiita nabii!! anyway nisikatae sana unaweza kuwa ni nabii wa uongo msaka toke! Eti wewe ndo ulimchagua hata aibu huoni kudanya umma...
  5. franciz

    Sitokuja tena kutoa sadaka kanisani

    Acha na bado wataendelea kununua magari
  6. franciz

    IGP apata kigugumizi mkutano wa CCM

    Uasi unaweza fanikiwa nchi nyingine lkn si hapa, kama unabisha uzia iadia yako hiyo watu kumi tu uone kama mtachukua hata dakika tano hamjawekwa chini ya ulinzi! kwenye masuala ya usalama wa nchi usije jaribu cheza na nchi hii.
  7. franciz

    IGP apata kigugumizi mkutano wa CCM

    Maafa kweli yatatokea maana polisi hawawezi vumilia uvamizi wa bavicha kwenye mkutano usiowahusu. Mlishapewa ushauri na nyinyi andaeni mkutano wa ndani sikuhiyo na muufanyie mkoa au wilaya nyingne, mwaweza kwenda, nzega, igunga, rombo, temeke ubungo, manyoni, au mbeya au kwingene popote lkn si...
  8. franciz

    Tetesi: Wanafunzi waliotimuliwa UDOM kuungana na BAVICHA tarehe 23 Julai

    Kama mtu alikupa nafasi pasipo kustairi yaani hukupaswa kupewa ns ameamua kuichukua unapiga kelele za nini? Ninawahakikishia mkienda dodoma mnakwenda kuongeza majanga zaidi, hao wazazi wenu watauza mpaka nyumba kuwawekea dhamani na kulipia ghalama za matibabu, jaribuni mtaona.
  9. franciz

    Tetesi: Wanafunzi waliotimuliwa UDOM kuungana na BAVICHA tarehe 23 Julai

    Usijumlishe na wenzio ambao hawana mpango wa kwenda dom. ningekushauri tafuta namna kusoma five na six ili urudi udom ukiwa na sifa, Hii si enzi ya bora liende tunakwenda kwa ubora, wewe ni form four unataka ukamfundishe form four itawezekana wapi? kaa chini ufikiri ghalama utayolisababishia...
  10. franciz

    Looking for a partner for marriage

    Kazi
  11. franciz

    Natafuta mwanamke wa kuanzisha nae familia

    Watu wawili hawawezi kwenda pamoja isipokuwa wamepatana. Nipo katika kutafuta wakutimiza nae hatua ya pili kati ya tatu muhimu ambazo ni kuzaliwa kuoa au kuolewa na ya mwisho ni kuondoka duniani. Najitaji mwanamke mwenye mtazamo positive kwangu kwaajili ya kuanzisha familia pamoja. Naamini...
  12. franciz

    Ikitokea tumeridhiana twaweza kwenda pamoja

    Watu wawili hawawezi kwenda pamoja isipokuwa wamepatana. Nipo katika kutafuta wakutimiza nae hatua ya pili kati ya tatu muhimu ambazo ni kuzaliwa kuoa au kuolewa na ya mwisho ni kuondoka duniani. Najitaji mwanamke mwenye mtazamo positive kwangu kwaajili ya kuanzisha familia pamoja.Naamini mke...
  13. franciz

    Je, hizi ni kauli za Magufuli ''mmoja''?

    Kwani zina kosa gani?
Back
Top Bottom