Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Rafiki zetu ni rwanda na ugandaTanzania is heading to dark edge
Rafiki zetu ni rwanda na ugandaTanzania is heading to dark edge
Ni kweli kumbe mahafali ya cdm ilikuwa ni mkutano wa nje?BAVICHA mnahangaika sana. Mkutano wa CCM utafanyika maana ni kikao cha ndani si mkutano wa hadhara.
Kongamano la ACT wazelendo pale millenium towers ulikuwa mkutano wa hadhara?Hii nchi si mali ya lichama lenu!BAVICHA mnahangaika sana. Mkutano wa CCM utafanyika maana ni kikao cha ndani si mkutano wa hadhara.
Mimi rwanda ndiyo kwetu kagame hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeSyria ndo home. Tuendelee kumsifu Bw. Bashar Al-Assad na chama chake.
Ndani ndio wapi?BAVICHA mnahangaika sana. Mkutano wa CCM utafanyika maana ni kikao cha ndani si mkutano wa hadhara.
Maafa kweli yatatokea maana polisi hawawezi vumilia uvamizi wa bavicha kwenye mkutano usiowahusu.Kuna jambo baya sana linakuja. Kama wale Vijana 7000 wa UDOM nao wakatimiza adhima yao ya kwenda Dodoma kusaidiana na Bavicha kutoa ulinzi shirikishi (Polisi jamii) kwa polisi ili wazuie mkutano na polisi wakakataa msaada huo na kuamua kupambana na wanaowasaidia itakuwa hatari. Maafa makubwa yatatokea na ndio mwanzo wa Bisouda wa ICC kupata jambo la kuanzia nchini petu.
Wale vijana ni Bomu hatari kuliko la kujitoa muhanga
Uasi unaweza fanikiwa nchi nyingine lkn si hapa, kama unabisha uzia iadia yako hiyo watu kumi tu uone kama mtachukua hata dakika tano hamjawekwa chini ya ulinzi!Kichwa majiiiii
Tuliwanbi
Huyu bwana hawezi kuwa hata mk wa mtaa
Mkampa nchi kwa nguvu na kwa kuiba kura
Sasa anajifunza uongozi akiwa madarakani
Kwa mara ya kwanza tanzania kunaweza kuibuka waasi
Hii inawezekana haswaaa kipindi hk
Mana siasa zisizo na maridhiano hutengeneza chuki makindi visasi uchochezi mwishowe waasi au vita za wenyew kwa wwnyew
Yanayoendelea kwa asadi yanataka kuja tz viongozi wa dini mpo kimyaaaa ngoja kinuke
kwani yale mahafali yaliyopigwa marufuku na polisi yalikuwa yanafanyikia viwanja vya jangwani?BAVICHA mnahangaika sana. Mkutano wa CCM utafanyika maana ni kikao cha ndani si mkutano wa hadhara.
du!kumbe ccm sio chama cha kisiasa?kweli tuna safari ndefu kufuta ujinga.Kukabidhiwa chama sio mkutano wa kisiasa
Mbona mikutano ya ndani imevunjwa na polisi kama ule wa ACT na mahafali ya wanafunzi wa CDM yaliyokuwa yakifanyika hotelini Dodoma na Moshi lakini CCM wao wamefanya mahafali ya wanafunzi wa vyuo vikuu ambao ni wanachama wao bila shida huko na sasa wanakwenda kwenye mkutano mkuu?BAVICHA mnahangaika sana. Mkutano wa CCM utafanyika maana ni kikao cha ndani si mkutano wa hadhara.
mimi si mwanachama wa chama chochote lakini hapa naona kuna tatizo,vyama vingine vikikusanyika hata kama ni kwenye ukumbi polisi wanawasambaratisha kwa washawasha na mabomu ya machozi mfano ni mahafali ya chaso haikuwa mikutano ya hadhara lakini polisi waliwatawanya,sijui ni nini hapa, sinema au polisi kazini au maagizo kutoka ngazi za juu.BAVICHA mnahangaika sana. Mkutano wa CCM utafanyika maana ni kikao cha ndani si mkutano wa hadhara.