Hali ya uchumi wa nchi imeimarika sana

Hali ya uchumi wa nchi imeimarika sana

tuache siasa mtaani hali ni mbaya mno kiuchumi. labda uchumi umeimarika kwa watawala na watu wao. hali ni ngumu kuliko ya jana au juzi. siasa wekeni pembeni watanzania wenzangu.
 
Ukweli uchumi unakua lakini tatizo ni kusambaza yale mafanikio kwa watu wengi .
Labda huo uchumi unaokua uwe ni chura za wanawake nitakuelewa mana hizo mtaani zimeongezeka si mchezo
 
Nionavyo mm mleta maba ameongea kinyume
 
Back
Top Bottom