Idea yako ni nzuri sana ambayo naamini kila mtu angependa kupata genuine person wa kushirikiana naye kufanikisha malengo yake ili wote mfanikiwe.
Sasa kutokana na uzuri wa wazo lako ili uweze kufanikiwa kwa urahisi, ni vema kuweka contacts zako ili kurahisisha mawasiliano kuliko kuitana PM. Mimi...
Tunaweza kufanya biashara kama unamaanisha mkuu.
Kila kitu kinapatikana na ni genuine products.
Sio counterfate products. Tuwasiliane zaidi. Nipate kwa email frajosmal@yahoo.com
Huenda hata vifaa vya umeme unaweza kuvihitaji.
Asante mkuu.
Unastahili baraka toka kwa Mungu, na kwa tendo hilo la uaminifu Mungu awe jawabu la mahitaji yako ktk maisha. Ukishapata baraka zake Mola, naomba ubadili na hilo jina lako lisije likawa kikwazo cha baraka zako kwa siku za usoni. Stay blessed.
Mkuu,hii kitu ni zaidi ya kupoteza.Itamtesa sana kisaikolojia for the rest of his life,unless kama atatokea kiongozi mbovu zaidi yake jambo ambalo si rahisi kutokea tena katika historia ya nchi yetu.
Kama atapatikana mbovu zaidi yake basi itakuwa nafuu yake kwani atafunika baadhi ya uozo mwingi...
Mkuu kuna tofauti kati ya Source na Sauce,hata nikiachia hapo nadhani utanielewa kwani wewe ni msomi ambaye unaweza kuwa umeghafilika au kwa kusudi ulijualo.
Kamwe haitakuwa Tomato au Chili Source ni Tomato au Chili Sauce.
Anyway nitaomba uwaelekeze na wengine waliokuwa wanaelewa kimakosa. Thank...
mmmh! Mkuu, chukua dakika moja ya utulivu kisha soma tena uzi wako,huenda utarekebisha jinsi ya kuufikisha jamvini. Naona kuna utata kidogo kwa taarifa uloitoa. Jamaa ameijua na kutoroka? kisha anatafutwa na polisi?
Ufafanuzi please!
Msamehe tu bure,huenda tukio limemfanya akajikuta anarudia kuhesabu miili ya marehemu mara mbili mbili,japo kwa tofauti ya hesabu zenu inaonyesha alihesabu mwili mmoja mara tatu na akatahadharisha kuwa upo uwezekano wa idadi hiyo kuongezeka.
Serikali sikivu imeshindwa kabisa kukabiliana na...
Mkuu jaribu kuwa more specific ili usaidiwe.
Information uliyoitoa haijitoshelezi.
Toa hata specification za engine ya zamani unayotaka kui-replace ili hata kama mtu anacheck na dealers at least unakuwa na info za kukusupport.
Kama utafunguka zaidi naamini utafanikiwa. Asante.
Wana produts nyingi mkuu,sasa unaweza kuwa more specific ili usaidiwe? Unahitaji kwa Units/Box 15, Boxes/pallet 60 au inakuwaje? Na unahitaji supplier wa kudumu kibiashara au ni kwa matumizi binafsi ya nyumbani?
Funguka zaidi tufanye biashara mkuu.Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.