Tazama tofauti kati yao na sisi

Tazama tofauti kati yao na sisi

Tumeishia kuichezea elimu kama mwanasesere ili iendane na matakwa ya wanasiasa! Endelea hivo mtoa mada kuna siku watakuelewa, maana ni kama kumpigia mbuzi gitaa!
 
Tumeishia kuichezea elimu kama mwanasesere ili iendane na matakwa ya wanasiasa! Endelea hivo mtoa mada kuna siku watakuelewa, maana ni kama kumpigia mbuzi gitaa!

nasikia hata matokeo ya kidato cha nne yaliyotoka hivi karibuni,yamefanywa kisiasa ili ionekane ufaulu umepanda.tz zaidi ya uijuavyo.
 
lakini pia nahisi hata hisi siasa zetu zinatuharibu.
kama mwanafunzi wa chuo anayechukua masomo ya sayansi,role mode wake ni mwanasiasa wa chama tawala kama lusinde.unategemea nini hapo?.

Ulitaka role model wake awe Josefina?
 
Hata marekani kutwa kucha ni siasa za democrats na republican labda kama hufuatilii siasa za marekani.kila kitu lazima kifanyike hii ni changamoto kwa nchi zetu za afrika huu ndio mtazamo wangu katika hoja yako.
 
Hata marekani kutwa kucha ni siasa za democrats na republican labda kama hufuatilii siasa za marekani.kila kitu lazima kifanyike hii ni changamoto kwa nchi zetu za afrika huu ndio mtazamo wangu katika hoja yako.

tatizo sio siasa,ila ni aina ya siasa tunayo fanya.kwa level ya wa-US waliyofikia,wanaweza fanya siasa ya aina yoyote wanayoitaka na bado mifumo yao ya kielimu ikabaki salama.sisi siasa inaingilia mpaka kwenye swala nyeti la kielimu.
 
Mfumo wa elimu yetu sio rafiki kiasi chakumuandaa mtu kutumia kipaji na kuweza kuvumbua kitu, tunafundishwa kukariri kisha tunatukiwa vyeti, sera ya elimu ianatawaliwa/simamiwa/kutungwa na wanasiasa. ni kazi sana hatuwezi kufika huko hata kidogo tuendelee kuota tu.

Umesema ukweli mtupu....
 
Utalii wao mzuri...
Sijui nikimuomba ushosti atanipa lift.
 
Hata marekani kutwa kucha ni siasa za democrats na republican labda kama hufuatilii siasa za marekani.kila kitu lazima kifanyike hii ni changamoto kwa nchi zetu za afrika huu ndio mtazamo wangu katika hoja yako.

Kwa Marekani siasa inachukua nafasi sana na kujadiliwa mara kwa mara ila haiingilii vibaya sekta za kiuchumi,Academic,Transportation na issues zingine.Na pia wana wataalam wa kutosha na wazalendo wanaowork kwa ajili ya maendeleo ya nchi na sii ya mtu binafsi tu.
 
Back
Top Bottom