Baada ya kutoonekana kazini bila taarifa halafu hapo hapo wanadai hawajui alipo sio nyumbani wala kazini sasa kwa nini wasimtafute kwanza wakimuona ndio mambo mengine yaendelee pengine hawa majamaa wana jambo wanataka kuficha
Sana huyu mzee anatoaga sana misaada kwamfano hapa kilimanjaro makanisa na mashule vimefaidi sana pesa zake kwa mfano kijijini kwetu kulikua na Harambe ya ujenzi wa kanisa jipya na yeye alialikwa kama mgeni rasmi unaambiwa alitoa mzigo mzito balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.