Waziri Mkuu aagiza daktari akamatwe baada ya wananchi kusimamisha msafara wake na kulalamika

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim ameagiza Daktari wa Kituo cha Afya Mahuta Mtwara akamatwe, ni baada ya Wananchi kudai anahusika na wizi wa dawa kunakosababisha Wagonjwa kukosa dawa

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo baada ya Wananchi kusimamisha msafara wake [HASHTAG]#MillardAyoUPDATES[/HASHTAG]


Je alichofanya waziri mkuu ni sahihi? Je kama wananachi hawakuwa sahihi si atakuwa kamfedhehesha huyo daktari?
d61ccab0ac5475cad5ef96860b267222.jpg
Huyu jamaa naye anajishushia heshima sasa! Hawezi kuiga kwa Lukuvi? Yaani unasikia fitina na wewe unakurupuka kuagiza mtu akamatwe? Umejiridhishaje kwamba hayo maelezo ya wananchi ni sahihi? Ni zahanati gani awamu hii zina madawa mpaka daktari aweze kuiba? Ujinga mtupu!! Mh. Lukuvi anazidi kuwadhirishia kuwa yeye ni akili kubwaaaaa!!!
 
Ni upuuzi tu huo. hao wananchi wamejuaje huyo daktari anaiba dawa? Kwanza serikali inaweza kweli kuwathibitishia hao wananchi kuwa kwa dawa walizopeleka kituoni hapo hapatakiwi kuwepo upungufu wa dawa kabisa?
Wananchi awamu hii yamekuwa hatari. Hawachelewi kukuharibia kazi ili wakucheke,,
 
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim ameagiza Daktari wa Kituo cha Afya Mahuta Mtwara akamatwe, ni baada ya Wananchi kudai anahusika na wizi wa dawa kunakosababisha Wagonjwa kukosa dawa

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo baada ya Wananchi kusimamisha msafara wake [HASHTAG]#MillardAyoUPDATES[/HASHTAG]


Je alichofanya waziri mkuu ni sahihi? Je kama wananachi hawakuwa sahihi si atakuwa kamfedhehesha huyo daktari?
d61ccab0ac5475cad5ef96860b267222.jpg
Nchi imejaa usanii mwingi. Je hiyo ndo njia ya kisheria kudeal na hizo issue?
 
Nimewahi kuona msafara wa waziri mkuu. Najiuliza kwa kasi yote ile ikitanguliwa na FFU, RPC,OCD wanazuiaje msafara?

Mimi nkajiuliza; Na hao walipewa kibali cha Polisi kweli?? Ni kipi bora, Maandamano ya amani kwenda kumsalimia akiwa ofisini au kushika breki za ghafula speed ya 180KPH ili kuwasikiliza hao hao wananchi??Mambo ingine ni kutaka kumaliza kiongozi wetu. Siungi mkono kumzuia akiwa njiani
 
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim ameagiza Daktari wa Kituo cha Afya Mahuta Mtwara akamatwe, ni baada ya Wananchi kudai anahusika na wizi wa dawa kunakosababisha Wagonjwa kukosa dawa

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo baada ya Wananchi kusimamisha msafara wake [HASHTAG]#MillardAyoUPDATES[/HASHTAG]


Je alichofanya waziri mkuu ni sahihi? Je kama wananachi hawakuwa sahihi si atakuwa kamfedhehesha huyo daktari?
d61ccab0ac5475cad5ef96860b267222.jpg


Safi sana. Naipenda sana serikali hii na Mungu azidi kuwalinda viongozi wake daima, wote tuseme kwa sauti kubwa....."Mungu wabariki viongozi wetu, Amina."
 
Huyu jamaa naye anajishushia heshima sasa! Hawezi kuiga kwa Lukuvi? Yaani unasikia fitina na wewe unakurupuka kuagiza mtu akamatwe? Umejiridhishaje kwamba hayo maelezo ya wananchi ni sahihi? Ni zahanati gani awamu hii zina madawa mpaka daktari aweze kuiba? Ujinga mtupu!! Mh. Lukuvi anazidi kuwadhirishia kuwa yeye ni akili kubwaaaaa!!!
yule mkuu wa wilaya ya kwimba aliyepeleka watu kulima kwenye shamba ilikuaje
 
Ha kumbe nae ni mkurupukaji nilikua namwamini sana ila anataka kuniangusha


Uzuri wa viongozi wetu ni kwamba wana data za kutosha kabla ya kumchukulia mtu hatua.....unatuhumiwa, unakamatwa na kuhojiwa......hakuna mchezo. Hizi si zama za rais mchovu na dhaifu (Kikwete), kila nchi LAZIMA iwe na rais anayejitambua. Hongera sana Mh. Waziri mkuu, Mungu akubariki.
 
Dawa gani ameiba wakati hazipelekwi kabisa.


Usipende kuongea kitu kama hauna data we mtoto. Dawa zilipelekwa toka mwaka jana na kugawiwa kila hospitali, tatizo hapa ni kwamba hawa madaktari uchwara walizoeshwa na utawala mchovu wa Kikwete kwamba ibeni tu fursa kwa kila mtanzania. Naona bado wana ile kasumba ya kijinga ya kupima huu utawala, hawajaisoma namba bado ila sasa ndiyo wataisoma vizuri. Piga vidole tu na sweka ndani wapuuzi kama hawa.
 
Usipende kuongea kitu kama hauna data we mtoto. Dawa zilipelekwa toka mwaka jana na kugawiwa kila hospitali, tatizo hapa ni kwamba hawa madaktari uchwara walizoeshwa na utawala mchovu wa Kikwete kwamba ibeni tu fursa kwa kila mtanzania. Naona bado wana ile kasumba ya kijinga ya kupima huu utawala, hawajaisoma namba bado ila sasa ndiyo wataisoma vizuri. Piga vidole tu na sweka ndani wapuuzi kama hawa.
Sawa we mkubwa,hivi si kuna registers zinazoonesha kiasi cha dawa kilichoingia na kutolewa(kutumika), je hao wananchi wana access kwa hizo taarifa au PM amejiridhisha kwa kuangalia hizo registers kisha kutoa hili agizo la daktari kukamatwa?
 
Waziri Mkuu Majaliwa Kassim ameagiza Daktari wa Kituo cha Afya Mahuta Mtwara akamatwe, ni baada ya Wananchi kudai anahusika na wizi wa dawa kunakosababisha Wagonjwa kukosa dawa

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo baada ya Wananchi kusimamisha msafara wake [HASHTAG]#MillardAyoUPDATES[/HASHTAG]


Je alichofanya waziri mkuu ni sahihi? Je kama wananachi hawakuwa sahihi si atakuwa kamfedhehesha huyo daktari?
d61ccab0ac5475cad5ef96860b267222.jpg
Wananchi wana ushahidi? Kwahiyo akitokea mtu akasema Majaliwa ameua watu milioni moja, ICC ikukamate? (police haina ubavu wa kukukamata), kirahisi hivyo?
 
Haya mambo ya kijinga watz tusiyashangilie!PM sio idara ya upelelezi polisi!Upuuzi wa Lyatonga Mrema 1990’s sasa umerudi tena!
Kuna mambo inabidi yakamalishwe kabla ya huyu Dr kukamatwa sio kwa amri za PM
 
Back
Top Bottom