Recent content by Fortnox

  1. Fortnox

    JamiiForums Tanzania MEGA THREADS: OKOA MUDA NA PESA YAKO: Acha Mimi Nikufanyie Maombi Yote ya Serikali

    All the best mkuu nitakushtua
  2. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Yanayofichwa ni haya: Wabongo walioletwa kutoka S.Africa wengi ni vichaa na mateja

    Mwenzie YP nae alitanguliaga mbele za haki walikua na songi lao kali sana linaitwa shemsa
  3. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Biashara ipi nifanye

    Dogo Achukue madini hapa
  4. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Biashara ipi nifanye

    Hahahaaa we jamaa afanye biashara gani sasa na huo mtaji
  5. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Huko FB wananchi wanafurahia kifo cha Kamishina wa polisi. Taifa limefikia pabaya sana.

    "Kifo ni kifo tu" 🙏
  6. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Itolewe Amri, uchafu kukutwa kwenye eneo lako, faini elfu 50

    Pampas zimezagaa sana mtaani mtu anakusanya nyumbani usiku anaenda zitelekeza mahali Ped pia zimezagaa yaan ovyo tu hii sekta nadhani ningekabidhiwa mimi watu wangenyooka walllah
  7. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    Ila wakati wa kutomba ulikua umejipanga sio?
  8. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Hii Ndio Mitaa Iliyonipa Pesa Nyingi Kariakoo

    Safi sana
  9. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kutoa Ushahidi kumtetea Tundu Lissu Mahakamani leo Agosti 31, 2026. Kesi imeahirishwa hadi Kesho

    Safi sana Manyanza kesi ikiisha nikumbushage ya soda
  10. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyofilisika na kupoteza Tsh Milioni 25 kupitia kamari ya Aviator

    Pole sana ukitaka kucheza kamari ni mpira tu tena Kwa mwezi Tenga elf nne tu kila wiki buku weka timu kibao ije walau mill 10 ukiliwa sawa naamini elfu nne Kwa mwezi haiwezi athiri uchumi wako
  11. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Je, watu huzaliwa na chapa ya laana ya kuteseka, yani ndio inakuwa njia yake na kizazi chake haijalishi atasali AU kufanya mema kiasi gani?

    Hamna kitu kama hicho lazima Kuna vitu unakosea tu upatapo Pesa mtaji wa masikini ni nguvu zake
  12. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Katika mda ambao kijana unatakiwa utafute pesa nini sasa.

    Mkuu ungekunywa kwanza maji ya baridi ndio uendelee na mbege
  13. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Hakika Lissu is destined

    Hands up 🙌 huyu jamaa ni hazina ya taifa sema ndio Hvo tu
  14. Fortnox

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mamaeee dah hii timu ishaanza kuleta kande
Back
Top Bottom