Yaani wamenikera hatariiii, asa kulikua kuna ubaya gani ile si ni soga tu, hivi nani atakua ameuripoti mwanaume au mwanamkeee au woteeee🤣🤣🤣🤣Dr. Mariposa uzi wako mods wamepita nao 😹😹😹
Nilijua tu lazima wauripoti tulikuwa tunaenda kuzua taharuki..!!
Mods wangetuacha kidogo mpaka dada yeloo subahi afike kwanza vumbi litimke..!! 😹
Ule Uzi umeripotiwa na mashakunaku wanaona ungetrend wao watasahulika 😹😹😹Yaani wamenikera hatariiii, asa kulikua kuna ubaya gani ile si ni soga tu, hivi nani atakua ameuripoti mwanaume au mwanamkeee au woteeee🤣🤣🤣🤣
Dada Subahi alikuwepo lazima anasoma kimya kimya
Za kuchemsha?
UpiteHahaha
Haya sasa fanya upite kwa mringo
🚶♀️🚶♀️Haya sasa fanya upite kwa mringo
Acha zako🚶♀️🚶♀️
Naona na uzi wako pia wamepita nao👀Ule Uzi umeripotiwa na mashakunaku wanaona ungetrend wao watasahulika 😹😹😹
Sema dada subahi hakuwepo muda ule labda kama alikuwa na parody..!!
Mods leo sijui wana nini? 😹😹Naona na uzi wako pia wamepita nao👀
Leo mods wana hasira kuna harufu ya ban hapa😃
Uzi wa kudindisha labda na wao wamedinda😆Mods leo sijui wana nini? 😹😹
Itakuwa kuna mashakunaku wanaripoti sasa uzi una shida gani?
😹😹😹 Aloooh..!!Uzi wa kudindisha labda na wao wamedinda😆
naomba namba za dada subahi nimkanyeUle Uzi umeripotiwa na mashakunaku wanaona ungetrend wao watasahulika 😹😹😹
Sema dada subahi hakuwepo muda ule labda kama alikuwa na parody..!!
HahahahaUzi wa kudindisha labda na wao wamedinda😆
Kumbe mod wanafuta uzi.. ule uzi ume nipa stim na nishampanga mtoto mie namalizia americano yangu hapa na tangawizi nikaone frog anavyokaa.. 🥴🥴 nimesoma comment flani kule lazima leo niifyokoe kama sitoipata tena😹😹😹 Aloooh..!!
Em waurudishe hakuna lugha mbaya pale ilipotumika..!!
Mods hawataki ushauri leo, tuwe wapole tu naona ile asubuhi tuliwatibua wengi😹😹😹 Aloooh..!!
Em waurudishe hakuna lugha mbaya pale ilipotumika..!!