Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20260805_120023.jpg
@cocastic
 
Dr. Mariposa uzi wako mods wamepita nao 😹😹😹

Nilijua tu lazima wauripoti tulikuwa tunaenda kuzua taharuki..!!

Mods wangetuacha kidogo mpaka dada yeloo subahi afike kwanza vumbi litimke..!! 😹
Yaani wamenikera hatariiii, asa kulikua kuna ubaya gani ile si ni soga tu, hivi nani atakua ameuripoti mwanaume au mwanamkeee au woteeee🤣🤣🤣🤣

Dada Subahi alikuwepo lazima anasoma kimya kimya
 
Yaani wamenikera hatariiii, asa kulikua kuna ubaya gani ile si ni soga tu, hivi nani atakua ameuripoti mwanaume au mwanamkeee au woteeee🤣🤣🤣🤣

Dada Subahi alikuwepo lazima anasoma kimya kimya
Ule Uzi umeripotiwa na mashakunaku wanaona ungetrend wao watasahulika 😹😹😹

Sema dada subahi hakuwepo muda ule labda kama alikuwa na parody..!!
 
Ule Uzi umeripotiwa na mashakunaku wanaona ungetrend wao watasahulika 😹😹😹

Sema dada subahi hakuwepo muda ule labda kama alikuwa na parody..!!
naomba namba za dada subahi nimkanye
 
😹😹😹 Aloooh..!!
Em waurudishe hakuna lugha mbaya pale ilipotumika..!!
Kumbe mod wanafuta uzi.. ule uzi ume nipa stim na nishampanga mtoto mie namalizia americano yangu hapa na tangawizi nikaone frog anavyokaa.. 🥴🥴 nimesoma comment flani kule lazima leo niifyokoe kama sitoipata tena
 
Back
Top Bottom