Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,205
Tatizo wakina mjema sio wachoyo kabisa unamshauri akanyage motoSawa basi tafuta mdada wa kipare uoe
Tatizo wakina mjema sio wachoyo kabisa unamshauri akanyage motoSawa basi tafuta mdada wa kipare uoe
Aisee sijasogea kokote nawaza kama mahusiano nayaendesha hv ni vp ntaweza kuacha kodi ya mezaUbahili wako umekusogeza wap kwenye maisha yako? Umekuinua kias gan?
Umeniwahi nilitaka niulize hili swali.Ubahili ama pesa huna?
Sijui kama pesa ninayo au sina but kuingiza 30k/ per day sio tatzo sana kwanguUbahili ama pesa huna?
Sijui kama pesa sina au ninayo but kukunja 30k mpaka 70k per day sio tatzo kwangu sasa nyie ndio mjudge kwamba pesa ninayo au sinaUmeniwahi nilitaka niulize hili swali.
Sasa kwa hiyo tabia hata ukija kuoa utaweza kuhudumia familia kweli au wewe team kataa ndoa?Sijui kama pesa sina au ninayo but kukunja 30k mpaka 70k per day sio tatzo kwangu sasa nyie ndio mjudge kwamba pesa ninayo au sina
Ndio kitu kinachonipa mashaka hicho sijui kama nitaweza kuacha kila siku kodi ya mezaSasa kwa hiyo tabia hata ukija kuoa utaweza kuhudumia familia kweli au wewe team kataa ndoa?
Mkuu jaribu kuifafanua vzrKuna ubahili wa kutokutowa pesa ovyo na wamalengo sasa kwa upande wako nakuona una bajeti nzuli. Anza sasa kuwa na bajeti
1/kazini
2/kanisani
3/family apa na vimada weka
4/hakiba
5/ malazi.
Mim nilikuwa nachangamoto kama Yako hila baada ya baba wa kiroho kunifundisha hiii binu now mamb Yako saw
Kazi ninayo mkuu shida nina malengo mapana kiac kwamba nikiingiza hizi mambo za madem naona wananitoa kwenye focus yangu shida ni upwiru sasaUnanikumbusha siku moja ilibidi nifunge kwa lazima maana ile asubuhi napika ugali gesi ikaisha ndio asubuhi nilikuwa napika ugali na haukufika ile steji ya uji at least ningekunywa na dagaa wa nyama ,demu anaishi kwao kwa baba na mama ananitumia message hajala ilibidi nimtukane yeye na mifugo yao pia like " kuku wenu anatombw na nyoka "
Hii ilikuwa enzi hizo nasaka job naingia jukwaa la ajira na tenda nakesha na wana kule gaddem shit watu tumetoka mbali
Unataka kuonga una kazi kiongozi ? Usije lala njaa
Inawezekana mkuuEm jichunguze vizuri Mkuu, isije ikawa una roho mbaya alafu wewe unadhani ni mbahili. 😂
Wacha kunanga kabila bora kabisa Tanzania 🤪Tafuta mpare mwenzio muishi maisha ya kutonga na bajeti......
Usimpe asee,Mimi Kuna Manzi kaniomba 50k,nimempa 25k Kwa kumwambia nimemkopea,awe ananirudishia 6500 Kwa wiki,wiki imeisha Jana kaanza kuniletea viswahili, asee nimembadilikia mbaya mbovu,hiyo misita kanipa na penzi limekufa,so namdai 19500k,nimejiandaa kwa upwiru na nyagi,ukinizidia ntanunua tu mishangazi,sitaki ujinga na wizi wa wanawake kabisa!!!Mkuu mpaka hapa kuna manzi nampenda sana aliniomba 60k toka wiki jana mpaka sasa nimeshindwa kumpa
Vipi umeweza kujenga nyumba mkuuWakuu ukiachana na swala.la wanawake kupenda sana hela zetu ila mimi pia nina tatizo binafsi ambalo linanikwaza sana.
Ipo hivi wanaume tumeumbwa kutoa hiyo ni nature japo wanawake walaghai pia wapo lakini wacha nijizungumzie mimi
Aisee mimi ni bahiri vibaya mno sio tu kwa mwanamke mpenda hela yani mpaka mwanamke aisependa hela sana nipo hivo,
Yani mwanamke akiniomba hela tu najiskia mood inakata kabisa.
kama miezi 6 iliyopita nilipata binti mzr sana kuanzia shepu na umbo yani aombi hela ananiambiaga tu kuwa anapenda mwanaume anaejiongeza but mimi sikuwa hi kufanya hivo hela nazompa mara nyingi ni baada ya show ya na mara nyingi kashanimbia anaomba nimnunulie chupi kama zawadi pia sikuwahi kufanya hivo imefika stage yule mdada kapata chamgamoto na akaniomba msaada na sikumsadia bac yule mdada alichoamua ni kumove on na mpaka sasa huwa tunawasiliana japo kanikatia tamaa
Sasa kwa tabia hz nitaweza kupata mke kweli coz hata mahusiano sasa hv nayaona magumu. Na upwiru unakaba koo.
Hii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa