Recent content by foreign er

  1. F

    [Reverse Engeenering Module 1] Advance Dll Hijacking For Blackhats And Cybersecurity Experts

    @Akili_nyingi kabisa joh!!.... Adumu san tupate madini zaidiii! Sent using POSTA
  2. F

    Hivi kweli kuna wataalamu wa IT Tanzania?

    Wapo..... Ila ni uthubutu na dhana za kutaka kuajiriwa... Ndo kunawaficha ila wpo wengi sana!.... Sent using POSTA
  3. F

    Hivi kweli kuna wataalamu wa IT Tanzania?

    Fact... Hasa hapo kwenye WWIII..... haitakuwa ya mabomu na marisasi!!.. Sent using POSTA
  4. F

    Application muhimu kwa smartphone yako

    Ulikuwa wapi aiseeehh??... Huu mzigo ni hatari... The best file manager i never know before. Sent using POSTA
  5. F

    Application muhimu kwa smartphone yako

    @Smart Technician ...... Hii itakuw inahitaji rooted phone???? Kubadilisha hayo maneno??? Sent using POSTA
  6. F

    [Reverse Engeenering Module 1] Advance Dll Hijacking For Blackhats And Cybersecurity Experts

    Thefreedom mzeee reverse engeneering module2 lini??? Sent using POSTA
  7. F

    Powerful encryption, every hacker, pentestER, researchers must know (bypass all antivirus)

    Mimi nashangaaa ulipoteza time yako kujibizana nae Thefreedom , inaonekana jamaaa yeye ni mzuri but inforward way na inreverse way hayuko vizuri.... By the way was good challenge to youu..... Endelea kukaza mzee na tuzidi kuelimishana..... HAKUJA KWA LENGO LA KUKUWEKA SAWA, ALIKUJA KUKUDISTURB...
  8. F

    Unknown 0-DAY vulnerability found on BIKOSPORTS TANZANIA

    0-day.... Haw jamaa wana hatari!!.... Ila jamaaa Ahsante kwa taarifa, Kikubwa ni kwamba usiache mzeee mee nakufatilia sana!!.... Sent using POSTA
  9. F

    [Reverse Engeenering Module 1] Advance Dll Hijacking For Blackhats And Cybersecurity Experts

    Nimechelea kidg jamaaa... Ila niko na wewe!... Lets learn tugeza[emoji23]..... Asnt kwa kushare mautamu jamaa! Sent using POSTA
  10. F

    Unalipia Tsh100 kupata namba ya kitambulisho cha taifa lakini hawatumi ukilipa

    Yaah....nimejiandikisha tangu august mwaka jana Na ninapoomba kutumiwa hio namba najibiwa hivi "ombi lako la kitambulisho linaendelea kushughulikiwa" kwa hiyo mpaka lini na mimi naomba mara zote!.... na niliend kuchukua wakanambia bado na kujiandikisha tena haiwezekani. Hapo vipi bro???
  11. F

    Unalipia Tsh100 kupata namba ya kitambulisho cha taifa lakini hawatumi ukilipa

    Habari zenu ndugu zangu katika jamii! Hivi hii imekaaje wakuu, tunaambiwa tupige namba *152*00# kupata namba yako ya kitambulisho cha taifa kwa gharama ya shilingi 100/= tu. Lakini mimi binafsi nimetumia hii njia mara tatu sipewi majibu na mia wanachukua!!..... HUU SI UTAPELI?? Naomba kama kuna...
  12. F

    Girls born in 1990

    Tena tafuta sana pesa..... kwa maaana!!
Back
Top Bottom