Application muhimu kwa smartphone yako

Application muhimu kwa smartphone yako

haina uwezo huo mkuu
hii ina booster ya base,treble,sauti mpaka pitch kama baa moja na zaidi tofauti na zingine zina base tu.

yaani inauwezo wa kuifanya hata radio yako kuonekana ni kubwa wakati kiuhalisia ni ndogo.

Wapi naweza pata music player kwenye iphone inayoweza download album art ?sony peke ndio wanayo naipenda saaana . Nadhani zinaweza kuwepo sema kujua sasa.
 
Wapi naweza pata music player kwenye iphone inayoweza download album art ?sony peke ndio wanayo naipenda saaana . Nadhani zinaweza kuwepo sema kujua sasa.
dah mkuu bado sijajua,maama katika iphone ku download nyimbo ni changamoto achilia mbali kuchagua wimbo uweje.

tubidy vip umejaribu?
 
Vipi kuhusu true caller wakuu,ziko nyingi mno play store so sijui ni ipi inafanya vizuri?
 
Hii app nikishawai kuitumia aise kuna watu wanapasword za hatari
Kutoka pale mabibo hostel kuna mmoja nilipata password yake ameandika kum*m*ko
Naongezea apo! Kwa wale tusopenda kununua bando tunavizia public WiFi ambazo ni secure/ina password au router wifi ya jirani yako au uko Town afu kuna wifi ina security basi tumia WIFI MAP iko play store itaifungua na utasearch location ulipo na itaonyesha WiFi zinazokuzunguka na passwords za izo Wi-Fi waliozoweka jamaa,.... NB: GPS iwe ON muda uo ili iwe rahisi location yako kua recognized na WiFi Map na ukumbuke kudownload Tanzania WiFi Map iliopo umo umo kwenye App iyo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PSB
Hii ni kwa ajili ya privacy. Weka namba unazotaka kuchat privately.... Ukitumiwa msg zitakuwa zinakuja huku Za hizo namba binafsi.... Pia calls ukipigiwa itablock zitakuwa msg...
pia unaweza hide icon isiwe inaonejana.

But shart uiweke iwe ndo default. Hapo msg zingine zitakuwa zinakuja kawaida. Ipo pstore
 
naomba link ya kupakua app za kulipia niwe na pakua bure
 
Back
Top Bottom