Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,597
- 5,185
Mkuu hebu fafanua nishadownload wifi map tayari nipe hatua zingine zinazotakiwa ili kukamilisha zoezi hili
Mkuu, hii kitu ni uhalisia?
Mkuu, hii kitu ni uhalisia?
haina uwezo huo mkuuHiv Hii inaweza download music cover? Hebu nipe sifa zake za kipekee please
haina uwezo huo mkuu
hii ina booster ya base,treble,sauti mpaka pitch kama baa moja na zaidi tofauti na zingine zina base tu.
yaani inauwezo wa kuifanya hata radio yako kuonekana ni kubwa wakati kiuhalisia ni ndogo.
dah mkuu bado sijajua,maama katika iphone ku download nyimbo ni changamoto achilia mbali kuchagua wimbo uweje.Wapi naweza pata music player kwenye iphone inayoweza download album art ?sony peke ndio wanayo naipenda saaana . Nadhani zinaweza kuwepo sema kujua sasa.
Naongezea apo! Kwa wale tusopenda kununua bando tunavizia public WiFi ambazo ni secure/ina password au router wifi ya jirani yako au uko Town afu kuna wifi ina security basi tumia WIFI MAP iko play store itaifungua na utasearch location ulipo na itaonyesha WiFi zinazokuzunguka na passwords za izo Wi-Fi waliozoweka jamaa,.... NB: GPS iwe ON muda uo ili iwe rahisi location yako kua recognized na WiFi Map na ukumbuke kudownload Tanzania WiFi Map iliopo umo umo kwenye App iyo...
na mimi nasubiri jibu
@Smart Technician ...... Hii itakuw inahitaji rooted phone???? Kubadilisha hayo maneno???sawa ngoja niziandae notes
Ulikuwa wapi aiseeehh??... Huu mzigo ni hatari... The best file manager i never know before.ES FILE EXPLORER(PAID ONE)
Yanakuaje. ?True caller inabadili majina phonebook
KivpTrue caller inabadili majina phonebook
Boss nimeilewa mpaka basi dahN7 music player ni zaidi ya Poweramp.
Jarib uone ukishindwa kabisa pakua GoneMAD music player lazima urudi unipe ahsante.



Naona wadau wamekuacha kwenye mataa 😄Anayeijua hii App Signal Private Messenger