Powerful encryption, every hacker, pentestER, researchers must know (bypass all antivirus)

bro kuna kitu hawa IT expert hawakielewi...My personal opinion of the IT security arena is that it should be formally separated into two distinct fields “Defensive Security” and “Offensive
Security” sasa hawa jamaa huwa wanafeli hapo tu.. yaani wako too Defensive na hawaelewi lolote kuhusu Offensive security.

intelinside Thefreedom
 
Na ndichooo nilichoongea juu kwamba hawa wanafanya programming katika njia sahihi ambazo zinafunzwa class ila sisi tunafanya programming hata kama ni non sense ila kikubwa tuweze pita kwenye system


Na ndo kitu nilichoposhana na huyooo jamaaa wa juuu kule ...anabisha wakat hii kitu ipo 100% inawork
bro kuna kitu hawa IT expert hawakielewi...My personal opinion of the IT security arena is that it should be formally separated into two distinct fields “Defensive Security” and “Offensive
Security” sasa hawa jamaa huwa wanafeli hapo tu.. yaani wako too Defensive na hawaelewi lolote kuhusu Offensive security.

intelinside Thefreedom
 
Na ndichooo nilichoongea juu kwamba hawa wanafanya programming katika njia sahihi ambazo zinafunzwa class ila sisi tunafanya programming hata kama ni non sense ila kikubwa tuweze pita kwenye system


Na ndo kitu nilichoposhana na huyooo jamaaa wa juuu kule ...anabisha wakat hii kitu ipo 100% inawork
jamaa yupo kishule shule sana..anasahu hizo technologies kabla hazijaingia shuleni zinagunduliwa ijne ya mfumo wa shuleee.
 
Na ndichooo nilichoongea juu kwamba hawa wanafanya programming katika njia sahihi ambazo zinafunzwa class ila sisi tunafanya programming hata kama ni non sense ila kikubwa tuweze pita kwenye system


Na ndo kitu nilichoposhana na huyooo jamaaa wa juuu kule ...anabisha wakat hii kitu ipo 100% inawork
Mimi nashangaaa ulipoteza time yako kujibizana nae Thefreedom , inaonekana jamaaa yeye ni mzuri but inforward way na inreverse way hayuko vizuri.... By the way was good challenge to youu..... Endelea kukaza mzee na tuzidi kuelimishana..... HAKUJA KWA LENGO LA KUKUWEKA SAWA, ALIKUJA KUKUDISTURB MIND MZEE.... ILA NIMEKUBALI WEWE ULISIMAMA.. YEYE AKALALA CHALI

Keep it up bro Thefreedom
 
Imenibidi ni cheke tu. Pamoja na maneno ya dharau ila ngjoa nikujibu mimi siko vizur kwenye uandishii na ndo maana nime-attach hio pdf . Kasome hio pdf kama ukitaka then ndo uje unikosoe, alafu aliyekuambia hio md5 hashes mtu huwez kupata original data ni nan? Hata ikiwa salted bado ni mavi tu ingekuwa hivo tusingekuwa tuna-hack databases za ajabu maana nyingi hutumia hizo Md5 umesikia mzeee wa dharau? Hash ambazo ziko tyte ni wapi na bycrpt hizo ndo huwa ni pasua kichwa kurudisha data yake kwenye original state.

Hio kitu juuu hapo nilichooomanisha ni how to encrypt ur private stub ndo maana nikaconvert exe kwenda md5 hashes encrypted by password according to hio program ambayo niliyotumia

Pitia hio pdf hapo juuu alafu uje na hizi dharau zako .......
mkuu uyu jamaa hakuja kwa lengo la kukuelimisha ,amekurupuka huko na mihemko yake na ma ego yake kaanza kukutusi,usipoteze mda kubishana nae ,piga block asipate access ya uzi wako wowote hana analoweza kusaidia, amevimba libichwa na kujifanya yeye peke yake ndo anajua kila kitu kuliko Watanzania wote kumbe mpumbavu tu.!
 
mkuu uyu jamaa hakuja kwa lengo la kukuelimisha ,amekurupuka huko na mihemko yake na ma ego yake kaanza kukutusi,usipoteze mda kubishana nae ,piga block asipate access ya uzi wako wowote hana analoweza kusaidia, amevimba libichwa na kujifanya yeye peke yake ndo anajua kila kitu kuliko Watanzania wote kumbe mpumbavu tu.!

Sure man

Unajua wengi wanahisiii hacking ni kile unachojifunza from college kumbe ni kinyume chake


Acha tupige kazi nisha mformat mda tu
 
bro kuna kitu hawa IT expert hawakielewi...My personal opinion of the IT security arena is that it should be formally separated into two distinct fields “Defensive Security” and “Offensive
Security” sasa hawa jamaa huwa wanafeli hapo tu.. yaani wako too Defensive na hawaelewi lolote kuhusu Offensive security.

intelinside Thefreedom
Thats your personal stupid opinion hujui chochote kuhusu online security, kabla ya kuanza defense nilikua offense, nimehack hadi cryptocurrencies nikapiga hela za watu, I know exactly what I'm talking about, we hujui hata kinachoongelewa nini unajifanya unajua kuchangia, unasupport kureverse hash functions? hahaha stupid people keep on being stupid, ingia google soma.
 
Thats your personal stupid opinion hujui chochote kuhusu online security, kabla ya kuanza defense nilikua offense, nimehack hadi cryptocurrencies nikapiga hela za watu, I know exactly what I'm talking about, we hujui hata kinachoongelewa nini unajifanya unajua kuchangia, unasupport kureverse hash functions? hahaha stupid people keep on being stupid, ingia google soma.

Weee jamaaaa unachekeshaa sana ...... nmekupa like unyamaze maaana unaongea snaa


Alafu umesema umeniblock sasa umerud kufanya nn

Hahaha hizo cryptcrrncs ndo unahisi umemaliza hapo !!?


Mzeeee weee endelea tu mambo yako ... NIMEKUBALI NITARUD SHULE

Tumalize kiiivo
 
Thats your personal stupid opinion hujui chochote kuhusu online security, kabla ya kuanza defense nilikua offense, nimehack hadi cryptocurrencies nikapiga hela za watu, I know exactly what I'm talking about, we hujui hata kinachoongelewa nini unajifanya unajua kuchangia, unasupport kureverse hash functions? hahaha stupid people keep on being stupid, ingia google soma.

Yani ungekuwa wa maaana mda unaotumia kukejerii hapa ungetuma hizo assumptions zako kwamba hiki hakiwezekan fanya hiki watu wengine wapate manufaaa sio unakuja unakurupuka mcrash mtu kwa facts sio maneno mdogo wangu
 
Ngoja niseme kitu, sitaki kuwa shabiki coz wengi wanakoment kwa ushabiki kama huyu Rog chimera

Thefreedom ulichoongelea kwenye uzi huu kuna mahala uko sahihi na kuna mahala kiukweli umezingua. Hashing inatumika tu kuhakikisha kama file au contents fln bado zipo kwenye original state. Nikupe mfano, nenda kwenye download page ya Java for windows utakuta umewekewa pale hash ya hilo file. Hio inasaidia ww kuhakikisha kama file ulodownload ndio lilelile au limefanyiwa modifications ambazo hazitakiwi coz hashing hata ukibadilisha nukta tu kwenye original contents basi utapata kitu tofauti kabisa.

Mkuu Graph yuko sahihi kwa point zote alizoongelea kama vile md5, gzip etc... so ingekua vema tu kama ungetumia alichosema kujazia uzi wako ili uwe bora zaidi.

Matusi, kejeli, lugha ya kihuni haifai kudiscuss vitu professional kama hivi. Ukweli ni ukweli tu siku zote "Huwezi pata original content kutoka kwa hash hata siku moja. Kama vipi nikupe hash basi ya iso file ya parrot then unitengenezee hilo og file la parrot kutoka kwenye hash"


Any way, Long time no see mkuu Thefreedom
 
Ngoja niseme kitu, sitaki kuwa shabiki coz wengi wanakoment kwa ushabiki kama huyu Rog chimera

Thefreedom ulichoongelea kwenye uzi huu kuna mahala uko sahihi na kuna mahala kiukweli umezingua. Hashing inatumika tu kuhakikisha kama file au contents fln bado zipo kwenye original state. Nikupe mfano, nenda kwenye download page ya Java for windows utakuta umewekewa pale hash ya hilo file. Hio inasaidia ww kuhakikisha kama file ulodownload ndio lilelile au limefanyiwa modifications ambazo hazitakiwi coz hashing hata ukibadilisha nukta tu kwenye original contents basi utapata kitu tofauti kabisa.

Mkuu Graph yuko sahihi kwa point zote alizoongelea kama vile md5, gzip etc... so ingekua vema tu kama ungetumia alichosema kujazia uzi wako ili uwe bora zaidi.

Matusi, kejeli, lugha ya kihuni haifai kudiscuss vitu professional kama hivi. Ukweli ni ukweli tu siku zote "Huwezi pata original content kutoka kwa hash hata siku moja. Kama vipi nikupe hash basi ya iso file ya parrot then unitengenezee hilo og file la parrot kutoka kwenye hash"


Any way, Long time no see mkuu Thefreedom

Sijakaaataaaa ila sasa anaglia kejeli za kwanza alizokuja nazo .... mtu kama kwenye uandishi kakosea unamwambia bana sehemu sio andika hivoo lakn yeye kaja kwa style ambayo ni wazi ni kucrash uzi mzima .... unajua umu kuna begginer wengi sasa watajifunza nn kwenye uzi kama wewe umeucrush .... nilichotegemea ni yeye aje aweke sawa kwamba fanya hivii iwe hivi wnegine wanufaike

Ila mtu unakuja unasema kitu hakipo na iweze tokea wakt hii mambo nimefanya na imekuwa success

Kwneye swala la hash nakubali ndio zipo na nyingi tu mpka nakutana nazo ila nilichokuwa namwambia issue za md5 hasa hashes ambazo ni non salted ni easy ku crack pamoja zingine zinakuwa haziwekzan kutoknaa na tabia na familia yake

Ila jamaaaa naona anakuja sijui nirud shule haahahhaa yani humu JF ukimpinga mtu njooo na hoja zako wengine wanafaike thatz it . Hacking ni pana
 
Aisee sijawahi ona mtu anayejifanya anajua kumbe hajui chochote kama wewe duh. Yaani umeandika ujinga mtupu hadi nimetikisa kichwa. Ushauri tu, anza kujifunza programming from scratch, alafu soma concepts mbalimbali za operating systems, anza kujua how memory works na imetengenezwaje, networking, cpu, kuna mambo kibao ya kusoma hapo utakutana nayo, jipanue akili kwanza alafu urudi miaka ya mbele ukiwa umeiva utaona ulichoandika hapa ni total rubbish.

Kwanza kuna tofauti kubwa sana kati ya encryption na hashing, encryption algorithms zinachofanya ni kuchukua data flani, zinabadilisha hiyo data isiweze kutambulika kwa kutumia key flani, na kwa kutumia the same key unaweza decrypt kurecover data yako in original form. Zipo encryption algorithms kibao sitoingia in details zinafanyeje kazi unaweza jisomea mwenyewe, popular ni kama RSA inayotumika kuficha data yako isionekane wakati inapita kwenda na kutoka kwenye server.

Hashing algorithms zenyewe zinavyofanya kazi ni unachukua data flani alafu inaproduce hash, hata kama una seed huwezi kupata original data kutoka kwenye hash hiyo isingekua hashing tena tungeiita tu encryption algorithm. Hizi zinatumika sehemu ambazo huna haja ya kua na the original data, mfano kwenye kutunza password za wateja kwenye database badala ya kutunza password ya mtu in clear text, unaichukua unaihash alafu unatunza hash, mteja akihitaji kulogin unachukua password yake unajaribu kuproduce hash ili uone kama ni same hash then unajua password ni sahihi, ili hata mtu akifanikiwa kuhack database akiona password hazitomsaidia kulogin coz hawezi pata the original password hata afanyeje.

Sasa turudi kwenye mambo uliyoandika wewe, in short umekosea kila kitu ulichoandika.



MD5 sio encryption algorithm, MD5 ni hashing algorithm, huwezi chukua md5 hash ukapata the original information, na MD5 siku hizi haitumiki sana kwa sababu ina flaw moja kubwa, ni rahisi kutumia information tofauti na zika-collide kuproduce the same hash, sifa ya hashing function nzuri ni kuproduce unique hashes kwa kila input unayoweka.

Gzip sio encryption algorithm pia, Gzip ni compression algorithm, inachofanya ni kuchukua data yako ikacompress into smaller size, haihitaji password wala nini, mtu yeyote anaweza ku-unzip na kupata original data, so sio encryption pia coz haihitaji key.

Sasa kama umeshindwa kujua vitu simple namna hii ambavyo ni commonly used kila siku, mfano gzip inatumika kwenye browser zote unazotumia, website nyingi karibia zote siku hizi zinatumia gzip kucompress data, kama hujui kitu simple namna hiyo kuna haja yoyote ya mtu kuamini unachokiandika? hujui unachokiandika umecopy na kupaste ulivyoelewa kumbe ulivyoelewa ni uongo mtupu.



Algorithm converter ndo kiumbe gani hicho? we jamaa unakuja na vitu ambavyo havipo, hakuna kitu kinaitwa algorithm converter, naomba usiweke post nyingine tena kuhusu haya mambo aisee, nenda kasome miaka 5 rudi tena ukiwa umeelimika. Kama una post nyingine za hivi naomba ufute zote usipotoshe watu.

Na hiyo code uliyoandika kutokua detected na antivirus sio accomplishment, hiyo code sio virus, toka lini code ya kuhash data ikawa virus seriously?
mkuu je md6 nayo vipi kwenye security upande wa hashing?
 
Asee... beginners tunaangalia ila kuna raia wanajikuta wanajua sana na wanakauli kama za kina Salima na Mwajuma ,,kama unaona mtu kaenda OP toa ufafanuzi mzuri .
 
Asee... beginners tunaangalia ila kuna raia wanajikuta wanajua sana na wanakauli kama za kina Salima na Mwajuma ,,kama unaona mtu kaenda OP toa ufafanuzi mzuri .
 
kuna kirusi kipya kina encrypt files kinaitwa ransomware chenye extension ya QCSX nani mwenye ufundi nacho wa namna ya kuki-fix ili niweze ku decrypt data zangu?

Audio na picha nimefanikisha kuzi backup, lakini ma files mengine yenye format tofauti na hizo bado
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom