Thefreedom
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 319
- 313
- Thread starter
- #21
Kazi nzuri Mkuu,
nmechelewa kuingia kwenye hii field Ila Ninatamani kufika mbali sana.
Let’s connect & Learn
Karibu man
Kazi nzuri Mkuu,
nmechelewa kuingia kwenye hii field Ila Ninatamani kufika mbali sana.
Let’s connect & Learn
Kwenye issue nzima ya reverse engineering??? Au??
Mimi nina swali, je hizi patch zinazotumika kwenye cracked software wanafanya kitu hicho hicho?
Yes please
Sawa mkuu,67% kama hawajakupiga na ransomeware basi watakupiga na backdoor yyte
Pamoja sio woteeee
Ila inawezekana
Kaka hapo lazima uwe na hizii knowledge
1. Operating systems uijue vzr jinsi ya mifumo endeshaji inavyofanya kazi. (Windows)
2. Ujue kucheza na convertion ya algorithms ila kwasasa kuna web naprogram nyingi ni saidiizi kukukamilishia kazi
3. Linux just basic tu
4. Networking hiii itakusaidis kufanya remote access na connection forwading
Soma basic network from scratch
Mwisho kama mda basi soma hata language c , c++ , python c# itakusaidia hapo baadae pamoja wengi wanaona wanapoteza mda kwasabb GITHUB inawabeba na ndo hao wanaitwa script hackers
Ila kwenye huuu uziii jua kucheza na procmon, ida pro , processor hacker ndizi nilizotumia
Ahsante kaka, Ngoja niingie darasani sasa
Kesho jioni hiviii maana niko safarini
@Akili_nyingi kabisa joh!!.... Adumu san tupate madini zaidiii!Stay Safe Mkuu... tuendelee kupata madini
@Akili_nyingi kabisa joh!!.... Adumu san tupate madini zaidiii!
Sent using POSTA