Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Typing error ni jsonSorry mkuu, umemaanisha JSON?
Mzee baba nnachokwambia naijua vizur. Naomba niishie hapo. Natumia jina langu jf so naomba niishie hapaAcha utani wewe, namba za kitambulisho cha muhusika utazipata wapi?
Msajili laini atatakiwa kuziweka hizo namba, tarehe,mwezmwezi na mwaka uliozaliwa hivi vyote atatoa wapi na kwa bahati mbaya sana iwe katumia cha NIDA
Tuelezee vizuri mzee
Mbona rahisi tu, mtu ku renew namba unaenda kwa wanaosajili pale Manzese unampa 15000 na namba ambayo unataka kurenew anakuletea kibati chako cha line fasta. Kisha una with draw mpunga wako.