Recent content by Forbes1990

  1. Forbes1990

    Bulembo: Sina mkwe anayeitwa Zitto, wao wanafanya starehe zao vichakani hawezi kuwa mkwe wangu!

    Huyo Halima Bulembo zitto kafunga nae ndoa muda mrefu Sana, sema hatupendi show off.. najua utaduwaa ila habari ndio hiyo mzee anajibaraguza tu labda mwanae kapewa nafasi ya kuwa mke mdogo. Cheki
  2. Forbes1990

    GE2020 Bulembo aahidi kumng'oa Zitto Kabwe kwa udi na uvumba

    Halima Bulembo ni mke halali wa Zitto Zuberi Kabwe Rugambwa. Najua unaelewa unaposikia Mke halali.
  3. Forbes1990

    Hassan Mwinyi ana kipaji kuliko Hussein

    Mkuu unamjua miraji Kikwete wewe [emoji1][emoji1][emoji1], muwage mnauliza
  4. Forbes1990

    Tammy Abraham, mchezaji wa chelsea F.C na timu ya Taifa ya England aikana nchi yake ya Nigeria

    Huyo sio wa kwanza acheni kumtumpia lawama. Floyd Maywether alikataa hadharani kuwa yeye sio Muafrica ila ni muamerica... Ingia hapa uone interview Yake halafu soma comments za black America wakimsapoti kuwa nao sio waafrica Mwisho wa siku waafrica tuache kujishtukia, acheni watu waishi...
  5. Forbes1990

    Msaada wa Mawazo kwa wenye uzoefu wa kununua na kuuza mchele wa Jumla nataka nijiajiri mtoto wa kike

    Mkuu kwani umilionea ni tsh ngapi si kuanzia milion 1 Sasa Mimi nakosa milion 1!!! .... Nimeongea based on my experience na ndio maana nimemwambia aende mwenyewe field asihadaike na maneno matam ya mtandaoni. Na nilielezea huo utofauti based kwenye Location za upatikanaji wa mchele. Nimesema...
  6. Forbes1990

    Kesi ya anayedaiwa kumchoma moto mke wake kwa gunia mbili za mkaa imeiva

    Kuna mambo yanatokea duniani unabaki kuomba Mungu akunusuru na mitihani. Jamaa atakuwa kwenye majuto makubwa mno. Mungu atunusuru
  7. Forbes1990

    Msaada wa Mawazo kwa wenye uzoefu wa kununua na kuuza mchele wa Jumla nataka nijiajiri mtoto wa kike

    Mkuu mchele ukitoka kukoboloewa kwenye mpunga huwa hauna harufu Kali ya kunukia , njia zinazotumika kuleta harufu ni Kama kuukaanga au kuupaka mafuta na kuanika juani... Hizo ni njia salama kabisa Wala sio za kihuni. Ukiletewa mchele ambao umekobolewa bila kufanyiwa hizo upgrading huwezi nunua...
  8. Forbes1990

    Msaada wa Mawazo kwa wenye uzoefu wa kununua na kuuza mchele wa Jumla nataka nijiajiri mtoto wa kike

    Asante Sana mkuu.. Nadhani ni utofauti wa njia za kuupaka huo mchele mafuta. Nijuavyo Mimi huo mchele hupakwa mafuta kwa njia ya mikono maana ukisema utumie njia ya kukandamiza Sana unaweza kuukata kata Tena na kuzalisha vipande vingi.
  9. Forbes1990

    Msaada wa Mawazo kwa wenye uzoefu wa kununua na kuuza mchele wa Jumla nataka nijiajiri mtoto wa kike

    Watu wengi huwa hawajui "Hakuna mchele mbaya Wala mzuri" , najua mtashangaa sana ila huo ndio ukweli. Iko hivi TANZANIA huwa Kuna misimu mitatu ya mchele na mpunga. Huwa unaanza msimu wa Kanda ya Mbeya ambao kwa Sasa uneshafungwa baada ya kuvuna na watu wameweka kwenye maghala .... hufuata...
  10. Forbes1990

    CRDB, fanyieni kazi tatizo la business transactions, nmeshindwa kupata huduma

    Kaweke hela kwenye international banks yoyote ya ulaya , ilikuwepo Barclays ila naona wamewapigia pande absa bank. Hivyo Basi bank yangu Bora ni absa hapa Tanzania. Japo absa n bank ya south Africa
  11. Forbes1990

    Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

    Kilo 1 huku dar Ni tsh 1700... Kwa hiyo umekosa shilingi 17,000 ununue hizo kilo 10 ili mwanao apate elimu Bora. Leo si tumeambiwa maisha ya watanzania yamepanda tangu kusimikwa kwa awamu ya 5 nini tena mapovu yanakutoka kwa hela ya Castle light 5.
  12. Forbes1990

    Kufikia mwaka 2400, kutakuwa hakuna wazungu na waafrika, bali rangi zingine mchanganyiko

    Nani kakwambia uafrica ni rangi nyeusi ? Hujui watu weusi wa Marekani hawataki kuitwa Ni waafrica?
  13. Forbes1990

    CRDB, fanyieni kazi tatizo la business transactions, nmeshindwa kupata huduma

    Inatumiaje local banks na international banks zimejaa tele
Back
Top Bottom