stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,819
- 22,920
katumia lugha ngumu kidogo hapo kasema walikua wanakutana vichakani...sasa mbona wameishazaa
katumia lugha ngumu kidogo hapo kasema walikua wanakutana vichakani...sasa mbona wameishazaa
Hawatambui wajukuu wake kwake ni haramu.katumia lugha ngumu kidogo hapo kasema walikua wanakutana vichakani...
Nimeshangaa sana kama huyo ni mtu mzima anayeweza kuitwa baba.Anayeaibishwa sana si Zitto ni huyo dada Bulembo, tatizo la kuchanganya siasa na familia.
Nawe Dada Bulembo unamsikia dingi kuwa wewe mambo yako unayafanyia vichakani umri huo!
Mzee hataki kukubali hiloMzee kuna maisha baada ya siasa
Haswaaa....Nimeshangaa sana kama huyo ni mtu mzima anayeweza kuitwa baba.
Familia anaihusishaje na siasa tena za majitaka
Hii kweli?sasa mbona wameishazaa
Zitto aache tamaa, ana mke mzuri na huyu tena anamchukua dah, maisha hayako sawa kabisa aiseeHivi kumbe Zitto ndio anakula huu mzigo?!
Noma sana
Acha awatafune tu. Dini yao si inaruhusu mke zaidi ya mmojaZitto aache tamaa, ana mke mzuri na huyu tena anamchukua dah, maisha hayako sawa kabisa aisee
Huyo Halima Bulembo zitto kafunga nae ndoa muda mrefu Sana, sema hatupendi show off.. najua utaduwaa ila habari ndio hiyo mzee anajibaraguza tu labda mwanae kapewa nafasi ya kuwa mke mdogo.Zitto aache tamaa, ana mke mzuri na huyu tena anamchukua dah, maisha hayako sawa kabisa aisee
Mdada kufanya mapenzi hovyo hovyo wewe ndiye unayedhalilisha familia yako. Mimba za hovyo hovyo wazazi hawazithamini hata kidogo. Wazazi wengi hufukuzia mbali wadada kwenye tabia kama hizo.Nimeshangaa sana kama huyo ni mtu mzima anayeweza kuitwa baba.
Familia anaihusishaje na siasa tena za majitaka?
@Zitto amemuweza huyu mzee hakiyananAcha Zitto ale mzigo.
Binafsi nilikuwa sijui kama binti yake Bulembo anafanyia mapenzi vichakani mpaka niliposikia kutoka kwa baba yake mwenyewe.Mdada kufanya mapenzi hovyo hovyo wewe ndiye unayedhalilisha familia yako. Mimba za hovyo hovyo wazazi hawazithamini hata kidogo. Wazazi wengi hufukuzia mbali wadada kwenye tabia kama hizo.
YapHivi kumbe Zitto ndio anakula huu mzigo?!
Noma sana