Wasukuma wataivamia hii thread mpka ishangae yenyewe si unaona nyie mnavyoshibaga kwenye sikuku wao ndo wanashiba hvyo kila siku then muwauzie kisahani cha wali 7000 wakati kwao ni kama salad na kuchangamsha mdomo wakiwa wametoka kula ugali
1 mmewekewa mindset za kinyonge boss ndo kila kitu nakuwa machawa wao
2wake zenu wanaofanya kazi wanatekereza majukumu ya boss kuliko yako safari za wife hazina excuses boss kwenda nae kwenye semina
3 mnaongoza kwa madeni kukopa wafanyabiashara mshahara ukifika nusu ndo inarudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.