Bro, Issue sio kwenda kampuni nyingine issue ni kuwa yuko connected na Mama Janeth na yeye atakuwa curious kumfahamu Iryn lazima afanye njia yoyote kuprove kile ulikuwa unasimulia Hapo hapo ndo kitaharibika
Naomba kuuliza viongozi. Kuna positions zimetoka masharti zinahitaji uwe na referees wawili. Wakati mpaka sasa hivi kwa applications za nyuma tulizofanya mimj CV yangu niliyoupload ina referees 3 pamoja na kwenye system nilijaza 3.
Sasa swali langu ni je? Kwenye kuapply hizi nafasi, natakiwa...
Sema uongo dhambi...UTUMISHI wanaonesha jinsi gani wana BUREAUCRACY ya kupindukia. Aisee It doesnt make sense watu kusubiri zaidi ya siku 30 majibu baada ya usaili.
Tred ndo nini kwanza hujui hata unachoandika....Nimeongea utumbo umesikia sauti yangu humu?
Hujui hata kutofautisha kati ya kuongea na kuandika.....NONSENSE!!!!!
Mkuu, with all due respect. Interviews za UTUMISHI inabidi zipewe heshima yake....Unaweza ona mtu amekariri tu lakini katika manotes yote na mambo yote, kile kitendo cha kuyajua majibu sahihi tu tayari ni ushindi.
Jambo lingine, MDA & LGA ndio ilikuwa Oral yangu ya kwanza (Naamini nitafaulu kwa...
Aaaaaah kumbe mkuu swala la kuamua kuleta humu story ni wewe tu na wala sio ubize wala nini.. Maana hapo unasema ulikuwa na MPANGO wa kuleta hiyo story tarehe 5 March ila kwa kuwa umeguswa na comment ya mwamba unasema utaiwahisha.....Safi. Ila hapa chini nina barua yako ya wazi
With all Due...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.