Recent content by Fofofoo

  1. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Feedback after interview

    Mzee wa Dnata kimya mno. Tupe mrejesho, mahela vipi huko??
  2. Fofofoo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Inafika Kasulu?😋😋
  3. Fofofoo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Una rafiki wa dadaako anafanya kazi airport!!! Ambae kipindi Cha nyuma alikusaidia kupata tiketi za kwenda Dodoma! Kwanini hukuwaza kumtumia huyo kwenye swala la tiketi za Kenya?
  4. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

    Kudhihaki ni dalili za low thinking capacity. Kitu ambacho uko nacho
  5. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

    Kutazama mara mia ni uongo? Huna kazi?? Haina hata miezi mi5 wewe mara mia??? Aaah wapi
  6. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Je, ulishawahi kuaibika katika mazingira mabaya?

    Ili ekaristi Kuna watu huichukua na kupelekea kwa sangoma. So lazima padre akuchenjie
  7. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    ishaisha mbona maisha yanaendelea mbelee... mda ndo huu
  8. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    vp, ulienda nchi gani?
  9. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Natamani kusoma Australia

    Kwann?? Kahela kako kakubwa kiasi cha kuahirisha ndoto zako?? Kazi zipo tu ila muda haurudi katu.... Usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa
  10. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Natamani kusoma Australia

    Navyoona bado hata hujaapply chuo... Na naona scholarship ni ndogo mno.. Wat is 5k given katika i.e 50k scholarship?? Kama unajidhamini ni poa zaidi.. Kila la heri
  11. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Natamani kusoma Australia

    Hatujaelewana naona.. Matokeo ya form 6 yametoka.. Umefaulu vipi wewe
  12. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

    Planna ulimuacha Zilihona ama nani?? Mie nilimuacha Lifuriro. Mipango elimu yao kukomoana, kama sekondari
  13. Fofofoo

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri niende kubaki Marekani au nirudi nyumbani

    😁😁😁😀😀😀😀, noma sana.. Ama kweli bongo kama ulaya
Back
Top Bottom