Kwann??Natamani kusoma masters ila nishazoea ka hela moyo unasita😂😂😂😂
Mi nimemaliza chuo tangu mwaka 2018, DIT diploma in civil engneeringHatujaelewana naona..
Matokeo ya form 6 yametoka..
Umefaulu vipi wewe
Upewe Scholarship Ukasome Australia kwa akili ipi?Habari wakuu
Elimu yangu Ni kidato cha sita comb pcm ndio nasubiri matokeo mwakahuu nawezaje kupata scholarship nchini Australia maana imekua Ni ndoto yangu kusoma uko lakini sina uwezo
Thread 'Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza' Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekezaHabari wakuu
Elimu yangu Ni kidato cha sita comb pcm ndio nasubiri matokeo mwakahuu nawezaje kupata scholarship nchini Australia maana imekua Ni ndoto yangu kusoma uko lakini sina uwezo
Apply PASSPORT kabisa uwe nayo kisha ...Habari wakuu
Elimu yangu Ni kidato cha sita comb pcm ndio nasubiri matokeo mwakahuu nawezaje kupata scholarship nchini Australia maana imekua Ni ndoto yangu kusoma uko lakini sina uwezo
Na pia hakikisha social media/network zako profile yako ipo clean usije ukapata tabu kwenye kupata visa kama ya U.s ..Habari wakuu
Elimu yangu Ni kidato cha sita comb pcm ndio nasubiri matokeo mwakahuu nawezaje kupata scholarship nchini Australia maana imekua Ni ndoto yangu kusoma uko lakini sina uwezo