fatu2010
Senior Member
- Mar 4, 2014
- 173
- 142
Canberra eneo gani mkuu?Cha muhimu kuwa makini na utapeli tu vyoo vipo vingi gharama yake ni kubwa sana scholarship ni za kubahatisha hasa hizo full,
Karibu sana Canberra
Canberra eneo gani mkuu?Cha muhimu kuwa makini na utapeli tu vyoo vipo vingi gharama yake ni kubwa sana scholarship ni za kubahatisha hasa hizo full,
Karibu sana Canberra
Karibu na kurrajong hotelCanberra eneo gani mkuu?
Hahhaah sawa mkuuMimi natamani kusoma Austria.
Ndio maana nimemwambia afaulu kwanza, PCM, PCB, PGM zinaaibisha watu sana Advance.Kuna dogo alienda form five na 1.7 form six katoka na 3.15
Kabisa Kaka unaweza jiamini alafu siku ya matokeo ukaogopa hata kusalimia watuNdio maana nimemwambia afaulu kwanza, PCM, PCB, PGM zinaaibisha watu sana Advance.
Ushaidi kama huu na mimi pia ninao, vipanga wengi wa Olevel walikalishwa chini Advance
Hivi hizi scholarship zina age limit?Faulu kwanza,
Scholarship za undergradutes ni ngumu na ni chache,
Scholarships nyingi ni kuanzia postgradutes ( madters & PhD )
Note: Ni ngumu sana kupata scholarship za kusoma kozi zenye miaka mingi.
Vile vile watoa scholarship pia wana mission zao, hivyo siyo kila kozi unaweza kupata scholarship
bila kufanya mtihani wa Lugha au Hesabu hauwezi kupataHabari wakuu
Elimu yangu Ni kidato cha sita comb pcm ndio nasubiri matokeo mwakahuu nawezaje kupata scholarship nchini Australia maana imekua Ni ndoto yangu kusoma uko lakini sina uwezo
Matokeo si kitu cha surprise jinsi unavyoperfom tangu mwanzo na matokeo yanakuja hivyo hivyo, surprises zinakuja pale unapozembea na kupunguza juhudi ya kusoma.Lazima tumwambie ukweli, matokeo ni kitu cha surprise sana
Scholarships zipo hata kwa ambao wamemaliza form four ingawa ni chacheHivi hizi scholarship zina age limit?
Kujiamini ndio huwa panaponza sana mambo yatakapokuwa tofauti, bora uwe katikati ili yakiharibika usikose sababu ya kusema.Matokeo si kitu cha surprise jinsi unavyoperfom tangu mwanzo na matokeo yanakuja hivyo hivyo, surprises zinakuja pale unapozembea na kupunguza juhudi ya kusoma.
Dogo Kama anajiamini atafaulu Basi atafaulu kweli Kama alivyotarajia.
Wanaojiamini wengi ni vichwa
Tena wa kiwango Cha uchumi wa Kati unaweza 😭😭😭✌️✌️✌️Umakini unahitajika hapa.
Ivi ukipewa scholarship baada ya kumaliza na kuajiliwa utadaiwa au wajuzi mtusaidie tunao soma bacherol.
Vipi matokeo yako??Habari wakuu
Elimu yangu Ni kidato cha sita comb pcm ndio nasubiri matokeo mwakahuu nawezaje kupata scholarship nchini Australia maana imekua Ni ndoto yangu kusoma uko lakini sina uwezo
Hatujaelewana naona..