Recent content by Focused mind

  1. F

    KIPI BORA KATI YA HIVI?

    Ijapokuwa Elimu ni bora kuliko pesa lkn ni bora kusoma ukiwa na kazi. Coz kusoma ni gharama
  2. F

    Tofauti kati ya X-rays, MRI na Ultra sound.

    Kinaogopesha!! Kivipi mkuu?? Elezea plz
  3. F

    IDE kwa programming

    Samahani!! Nini maana IDE??
  4. F

    Msaada wa maelekezo

    Usihofu utajuzwa
  5. F

    Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni- Pata ufafanuzi wa kina, ushauri na tiba ya tatizo hili

    Ushauri, muone Dokta wa magonjwa ya kinamama. Bila shaka atakusaidia
  6. F

    Mijadala gani hufungwa au kufutwa kabisa katika JamiiForums?

    Ahsanteni sana!! Nakili kwamba nilikuwa sizijui sheria hizi kabla. Aghalabu ningetumia JF "against these rules" bila kujua. Ahsante sana kwa kazi nzuri hii!!
  7. F

    Boom kuongezeka rasmi tarehe 30/10/2018

    Kweli Mwanafunzi ni Mwanafunzi tu, haijalishi anasoma level gana Kuna vijitabia lazima wafanane. Hii tabia nilidhani iko o-level tu
  8. F

    TTCL nini shida?

    Kweli kabisa. "RUDI NYUMBANI KUMENOGA" Basi wapanogeshe kweli
  9. F

    Kuanzia leo mimi sio muumini tena wa Kanisa Katoliki

    Nakubali ninomaaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. F

    Napitia katika changamoto kubwa

    Kwanza hongera kwa kujitunza mana kwa dunia ya leo ww ni wapekee!! Amka usiku wa manne muombe Allah!!! Mwambie kwa hisia kali kama vile unamuona face2face,,, mwambie usiponisadia ww nan atansaida!! Naapa kwa alieumba mbingu na ardhi, hakika atakupa hitajio lako,, tena atakupa mpaka uridhike!!
Back
Top Bottom