Habary zenu ndg,jamaa na marafk? Kuna ndugu yangu ni mwandsh alkua anaomba Msaada wa wadau

Kama huyo jamaa ni ndugu yako baasi atakua mbumbumbu kama weww. Huwez omba msaada hafu ukaandika hivyo. Ni zaidi ya uchizi
 
Kabla hatuja msaidia ndugu yako tafadhali akusaidie wewe,..Muonyeshe uandishi wako huu atajua lakukusaidia ninalo maanisha.
 
Back
Top Bottom