Waje watunyanganye na simu kama wanataka tuangalie movie za kibongo... Maana kuna masite kibao watu tunashusha vitu tu... Tena ukicheki kipindi hiki hata cd zilikuwa hazinunuliwi sana
Bukoba hata kuwapa stahiki zao za rambirambi aligoma saahiv anaenda kujenga kwake.. Afu baadae anasubutu kusema mniombee niendelee kunyoosha nchi.... Haya mambo yanatia hasira sana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.