Recent content by FM

  1. F

    JamiiForums Tanzania Blandina Nyoni, You are tired, you deserve to be fired!

    Nilikuwa najaribu kukusaidia tu ndugu yangu kwa kile ninacho kifahamu kwa uhakika. Takwimu nilizokupa nilizipata kwa watu wanaohusika na zoezi la posting. Kutokuwepo kwenye website ya wizara hakuondoi ukweli wa hili. Usitake kutuaminisha kwamba takwimu zinazopatikana kwenye mitandao ndo sahihi...
  2. F

    JamiiForums Tanzania Blandina Nyoni, You are tired, you deserve to be fired!

    Hapa naomba ieleweke kwamba, mwenye mamlaka ya kutoa vibali vya ajira katika utumkshi wa umma ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejementi ya Utumishi wa Umma.
  3. F

    JamiiForums Tanzania Blandina Nyoni, You are tired, you deserve to be fired!

    Ndugu yangu Meningitis nashawishika kuamini kwamba hoja yako imeongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo. Pengine zipo tofauti binafsi kati yako na Mama Nyoni. Nisingependa sana utuingiza kwenye mtego wa kujadili hilo. Lakini kwa kuwa umepitia mgongo wa posting nitaelezea kidogo hilo. Kwa...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Mizengo Pinda atangazwa kuwa Waziri Mkuu tena

    Hongera mtoto wa mkulima.
  5. F

    JamiiForums Tanzania Uspika na Nguvu ya Mafisadi!

    Katika hotuba yake baada ya kuapishwa Rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM alisema kwamba kutokana na kipigo walichokipata katika uchaguzi mkuu kwa kupoteza majimbo mengi (Nyamagana, Ilemela na Iringa kutaja machache). kama chama wangekaa na kuangalia wapi walijikwaa na kuangukia pua. Maskini ccm...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Jk na red tai

    Rangi nyekundu Serikalini ishara ya mamlaka. Kama mtu ambaye ameshatangazwa,( nimebold kuonyesha msisitizo), kwamba nia mkuu wa nchi na anakwenda kuapishwa,hapo kumbuka kwamba akishatangazwa na tume ndo ntolee hiyo; sidhani kama alikosea. Labda nishawishi vinginevyo.
  7. F

    JamiiForums Tanzania Safari ya Andrew Chenge kuwania Uspika wa JMT

    Hivi hao nao wametangaza nia? Patachimbika.
  8. F

    JamiiForums Tanzania GE2010 NEC toeni maelezo ni kivipi matokeo ya Geita na Nyang'hwale yanafanana!

    Kama atapata ugumu wa kuchagua jina napendekeza atumie hili ZERO BRAIN
  9. F

    JamiiForums Tanzania GE2010 Majimbo ambayo yamechukuliwa na upinzani uchaguzi mkuu 2010

    Na 11
  10. F

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa Apinga Matokeo Yanayoendelea Kutangazwa na Tume

    Huo ndo unaona muujiza ee, jiulize na hivi basi, katika jimbo ambalo chama kimekosa hata kiti kimoja cha udiwani, kinawezaje kupata kura nyingi za urais??
  11. F

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa Apinga Matokeo Yanayoendelea Kutangazwa na Tume

    Sijaelewa busara kwako inamaanisha nini. Kama upo ushahidi wa dhahiri na usio na shaka yoyote kwa nini akubali? Kura ni mali ya wananchi, na kama anaaminii alipewa za kutosha ila kwa sababu ambazo haziko wazi,haieleweki ziliko, hana hiari isipokuwa kuzitafuta. Na hapo nadhani ndo ulipo msingi wa...
  12. F

    JamiiForums Tanzania GE2010 Zitto ajeruhiwa na Polisi, apelekwa Hospitali

    Wakati Mhe Zitto anafanya jitihada za kuwatuliza wanachma wake polisi walikuwa wapi?? Baada ya wananchi (wanachama wa Chadema) kutulia polisi walifuata nini kwenye ofisi za Chadema?? Kurusha mabomu? Ndiyo, kurusha mabomu kwa kuwa ndicho walichokifanya. Haya basi, madhumuni halisi yalikuwa ni...
  13. F

    JamiiForums Tanzania The Polite Way To Pee

    Ha ha haaaaaa,
  14. F

    JamiiForums Tanzania GE2010 Clouds mnajiandaaje kupokea ushindi wa Mr. II (Sugu) ?

    Hureeeeeeeeee, hongera sana Mr. II a.k.a Sugu, umewakimbiza vibaaaaya mkubwa, UNATISHA. Tunatarajia uwakilishi makini mjengoni. Mungu akuongoze.
  15. F

    JamiiForums Tanzania GE2010 Mbowe Ndesamburo waingia Arusha

    Ikiwa hali ndo hiyo, bado tuna safari ndefu kuelekea mabadilikoa ya kweli.
Back
Top Bottom