Jk na red tai

JIULIZE KWANZA

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
2,569
495
Imenishangaza rais mteule wa nec katinga tai nyekundu na akitembea kwenye zulia lekundu wakati wa sherehe za kuapishwa.........
 

FM

JF-Expert Member
Jul 2, 2009
202
4
Rangi nyekundu Serikalini ishara ya mamlaka. Kama mtu ambaye ameshatangazwa,( nimebold kuonyesha msisitizo), kwamba nia mkuu wa nchi na anakwenda kuapishwa,hapo kumbuka kwamba akishatangazwa na tume ndo ntolee hiyo; sidhani kama alikosea. Labda nishawishi vinginevyo.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom