Una feel proud hadi kuja kutangaza kwa umma?
Una umri gani????
Utayekuja kumuoa saizi anafanyiwa uharamia mahali,na wewe watu watakuwa wanakung'onga kwa kipimo hiki hiki.
Anyway,,,usitapakaze basi mtaani ukajaharibu mahusiano mapya ya watu
Kichwa cha habari na ukichoandika ndani haviwiani. Kweli Rais Mkapa alikuwa sahihi. Tunahitaji mjadala WA kitaifa kuhusu elimu ya Sasa.hata uandishi tu kwa lugha ya taifa ni shuguli?
hii app ni ya kwel,,,
ina kuonyesha spid inayotakiwa kutumika katika eneo husika
ina sense camera za polis kwaa kupiga alam
inakuonyesha route ya barabara...tangu nimeijua trafik huwa ni kuwapungia tu,,,maana hata ajifiche alam ikishagonga unapunguza spid
umeona hapa......
The low rating can also be
attributed to the current
government’s crackdown
on the Opposition party
leaders and the banning of
live coverage of the
Parliament sessions that
used to give Opposition
parties a platform to be in
the limelight.
Recently, the government
lifted the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.