Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu

Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu

Wakuu,

Naomba mnisaidie kwa hili.

Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.

Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.

Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
Just to protect your status you're ready to kill...
Yaani status yako ina prevail over your own blood child growing in a stomach of an innocent woman..
Shame on you asee..
 
Acha ujinga Abortion ina ma wili kufa au kupona so muache mtoto wa watu azae no way hapo we jiandae Tu kuwa baba ndo upige kazi ulee mtoto kuna tofaut kubwa sana ya Mvulana na Mwanaume
 
Wakati unaingiza mboo kwenye **** yake hukufikiria jamii itakuonaje? Wakati inamwaga wazungu huku ukigugumia kwa utamu hukufikiria jamii itakuonaje? Na inaelekea umemtomba mara nyingi mpaka hatimaye kitu na box.Nakushauri uendelee na taratibu za posa na hatimaye ufunge naye ndoa.
Maans huna jinsi.We mama yako angetoa mimba yako leo ungekuwepo Duniani? Acha utoto broo. Chukua hatua na uwajibike kwa yote uliyoyafanya kwa kumuoa ndipo jamii itakuona katika mwanga bora.
 
[HASHTAG]#justiceforLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenakiwahai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxeceMelo[/HASHTAG]
 
Achana na option ya kutoa mimba brother. Fanya tu utaratibu wa kuweka mambo yawe formal

Watoto wa aina hiyo future yao kawaida huwa nzuri na huwa viongozi wakuu na maprofessor. Kwa hiyo muoe/mtoto azaliwe apate malezi mazuri kwani ndiyo mkombozi wa maisha yako. If you don't take care of the child, one day utafilisika au utapata stroke na hutapata msaada note unaowategemea kwa sasa watakutupa!
 
Kauli 'nimempa mimba' imepitwa na wakati.
Tunasema 'amejibebesha/amekubali ibeba mimba'.
Hvyo basi ni juu yake,we endelea na mishe zako.
Halafu unaweza ukakuta huyo dada hapo ndio mdogo wako na mleta mada ni rafiki yako..
 
Aje awe mama wa watoto wako halafu unataka akatoe mimba? Yeye ndio keshachanga karata zake vizuri.
 
Sababu unataka atoe mimba ambapo na yeye atashiriki hiyo dhambi, subiri mtoto akizaliwa utende hiyo dhambi peke yako bila kumshirikisha!
 
Wakuu,

Naomba mnisaidie kwa hili.

Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu kipenzi, namuambia aitoe hataki. sio kama sina uwezo wa kumuhudumia ila naogopa jinsi watu watakavyonichukulia kutokana na status yangu.

Naona aibu sana jamii inayonizunguuka ikija kufahamu hii habari. naombei mnisaidie wakuu nifanye nini kuondokana na aibu iliyo mbele yangu? Kuhusu kumpeda nampenda sana binti na nina mpago aje awe mama wa watoto wangu lakini sio kwa kuzaa nje ya ndoa.

Wakuu ebu nisaidieni katika hili, nimshauri vipi huyu mtoto akubaliane nami maana anakataa hataki kusikia kabisa habari hizo.
acha uoga, toa pesa usimtoe mimba.
 
Usije ukathubutu kuua. Mwache akuzalie mtoto. Aibu ni ya Wakati mchache lakini jeraha la kuua ni la Siku zote utakazoishi. Yangu ni hayo tuu
 
Mbona huna ustaarabu ndugu yetu yaani mdogo wa rafiki yako umekula weee ukaamua uweke na mimba kabisa??halafu unajifanya unampenda na ulitaka awe mkeo.?Sasa rafiki yako atakuelewaje hapo??Jiandae kwa aibu na hiyo status yako ipoje?au ni kiongozi wa jumuiya za kigango chenu huko?daah hii ni aibu.Cha kufanya tuma mshenga ulipe mahari uharakishe ndoa kama kweli una nia hyo basi muoe haraka kabla hajazaa itapunguza zogo.
Ah ah ah haya mkuu nimekuelewa
 
Back
Top Bottom