Recent content by Fletcher

  1. Fletcher

    Ila watu wana roho ngumu sana

    Ili mda ambao hatuko pamoja nijichukulie sheria mkononi
  2. Fletcher

    Mpenzi wangu kanipa ultimatum kuwa nisipomuoa mwaka huu, atachukua maamuzi magumu

    Achana nae, anakuletea kauli za ajabu ajabu. Soko bado liko vizuri, tafuta mwingine songesha mpaka ukiwa tayari kuoa
  3. Fletcher

    Nimeibiwa na 'pisi kali'

    Weka mashine mzee, mengine baadae
  4. Fletcher

    Biashara gani ya kunipa faida ya laki mbili kwa siku

    Nunua hisa crdb au tbl Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Fletcher

    Jela miaka 5 kwa wizi

    Mkazi wa tandale katumiwa nauli atoke dodoma aende dar Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Fletcher

    Maoni yangu kuhusu ujenzi wa Ubungo Flyover

    Kuna point flani. Itabidi zitumie nguvu zaidi kuliko ilivyokua mara ya kwanza wa stendi, Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Fletcher

    Ushauri: Nimeitwa Polisi

    Hama nchi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Fletcher

    Nahitaji wazo mbadala nifanye nini katika hili

    Nenda nayo nyumbani. Chimba shimo uani ifukie
  9. Fletcher

    Kwanini wanaume ni wagumu kusamehe?

    Unakuta jamaa kajitahidi kutulia na demu na hajawahi kucheat hata mara moja halafu inatokea demu anamcheat mshkaji, Ngumu kusamehe. Ntakusamehe yote ila kwa hilo bora tuachane. Kama mwana alicheat kabla, na dem alimsamehe maisha yakaendelea halafu demu akajacheat bila mshkaji kumsamehe, hapo...
  10. Fletcher

    Tukumbushane: Mchumba hasomeshwi

    Anasomeshwa cherehani tu
  11. Fletcher

    Sisi wanaume wa shoka hizi ndo zetu

    Ndo vitu vyangu hivo
Back
Top Bottom