mimi naona ni kutokana kiroho ni najisi, kwa mwanamke kucheat. Labda nieleze hivi, mwanaume akipata mke ina maana yule mke ni ubavu wake...sasa mwanamke akicheat ina maana umemtoa yeye akaenda kulala na mwanaume mwenzie. Maelezo mengine, wanaume huwa wanasahau watu ambao huwa wamelala nao ila wanawake hawasahau hasa kama alifurahia ule mchezo haijalishi iwe kwa bahati mbaya au la! na hii ni kwasababu ya yale manii kuingia ndani ya mwili wa mwanamke,na wanaume hii ndio inawaumaga sana sana kuona daah jamaa kafaidi mke wangu na mke wangu hawezi kumsahau yule jamaa. Inauma sana na kibinadamu ni ngumu sana kusamehe hasa ukiwa mnyonge kisaikolojia. Ukitaka kupima hii kitu...mwadithie mmeo kuhusu siku ulipotolewa bikra(kama hajakutoa yeye) uone sura yake itakavojaa mishipa!!! Hizo ndio sababu kwanini mwanaume ni ngumu kusamehe japo kusamehe kunawezekana kabisa, hata Mungu anajua hili ndio maana alimwambia nabii mmoja hivi akaoe kahaba ili aone uchungu na wivu juu ya mke wake akimaanisha kuwa ndio uchungu sawasawa anaopata yeye kwa watu wake duniani.