Ila watu wana roho ngumu sana

Ila watu wana roho ngumu sana

Alafu ujinga zaidi ni kwamba huyo mtu unaemtumia hizo picha za utupu ni mtu wako na kila siku mnaonana utupu wenu sasa kama kila siku mnaonana utupu wenu na kila mmoja anajua wa mwenzie mnatumiana nudes za nini!! Naamini huu ni utoto wa hali ya Juu
Ili mda ambao hatuko pamoja nijichukulie sheria mkononi
 
Safi mkuu i hope hupendi na huwezi kumwambia babe wako pia akutumie eeh? You're such a GentlemanšŸ‘
hata ww eti utakubali babe wako akutumue bakora yake kwenye pic!!? haiwezekani sieti! au ww upige pic mbususu yako umtumie!!!
,hizo zinaonwa live tu wakati wa mambo shuhuli ikiisha zinarudishwa kufichwa ndani ya chup
 
Iv unapata wapi nguvu za kujirekodi utupu na kumtumia mtu(mpenz wako)???? Serios?
Kabisa unakaa unachukua video au unajipiga picha?
Aisee me mwanamke akinitumia picha au akiniuliza kama napenda awe ananitumia inakuwa ndo mwisho wa mahusiano(namuona mtoto mjinga hajakua na hajielewi)

Ujue wengi wanalichukulia easy ila hebu fikiria umemtumia kasave then akiwa kweye mishe zake rafik au ndg kamuomba sm yake aidha apige au afanye kitu chochote kile
Watu wengi siku hizi wapumbavu sekunde kashafika kwenye galley ameona fasta anawasha Airdrop anajitumia fasta bila wewe kujua

Kesho unazikuta mitandaon!! Unamlaum nan wakat ni ujinga wako??
We jamaa unaenda kinyume na wito wa mama yetu mpendwa?

Kazi iendelee, ukiendelea kuzingua tutazinguana
 
Hivi kweli jinsia Ke huwa mnatuma hizo picha?? Hebu mmoja afanye kunitumia ili niamini...
 
Mwisho wa siku nakuja kugundua ..tupo obsessed na uzinzi...tume be trapped in vicious circle...
 
hata ww eti utakubali babe wako akutumue bakora yake kwenye pic!!? haiwezekani sieti! au ww upige pic mbususu yako umtumie!!!
,hizo zinaonwa live tu wakati wa mambo shuhuli ikiisha zinarudishwa kufichwa ndani ya chup
Ni kweli si vizuri kutumiana picha za hivo, kama tumemissiana ni bora tuonane tu tuchunguliane weee baada ya hapo sehemu za siri zirudi mahala pake kimyaašŸ˜€šŸ˜€
 
hahahahahahahaha safi sana mimi mwenyewe naku support mkuu
 
Hilo ndo linashangaza zaid mtu unamjua nje ndani halaf bado unamtumia? Sasa kama anataka kukuwaza si afumbe macho aikumbeke maana anaijua
Kwa hiyo wewe kwa sababu unajijua hupigi picha? AU kwa sababu ndugu zako mnaonana hawana picha zako? SITETEI KUTUMIANA PICHA ZA UTUPU, BALI NAJARIBU KUONA HOJA MNAZOWEKA ZIPO KAMILI KIASI GANI... Hapo ulipo pengine una picha za ndugu zako, kwani hamuonani?
 
Ni kigezo tosha cha kupunguza mapenzi juu ya mtu,Au wale wanakupigia simu eti nionyeshe tako,ziwa aisee huwa nawachukia.
 
Me mmoja alinitumiaga yake og akiwa kaipanua me nikamtumia ya kudownload
 
Duuh!Nakumbuka Sikumoja nimekaa zangu Sielewi,Mara Pap!Mizigo Inaingia telegram.Nikajiukiza Nn Hiki.Kufungua Nakuta Mshikaji wangu Kanitumia Picha wako Na mpenzi wake Wanaandaana Kupata Mkate wao.Cha Ajabu Sikumuomba Hata Anitumie.Ila Chap Nilizifuta isije ikawa Connection Mpya
 
Back
Top Bottom