Recent content by Flano

  1. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Roho inauma kinoma huku mtaani tunaishi kwa shida sana, ila sio mbaya furaha yetu tumemuachia PSG tunajua hawezi kutuangusha.
  2. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hongereni sana wanangu wa Arsenyau kwa msaada wa VAR kufanikiwa kubeba English Corner Trophy msimu huu. Hii ni fedheha kubwa mno kwa ulimwengu wa Soccer.
  3. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaahhh huku mtaani kwa sasa tunaishi kwa tabu sana aiseee, yaani inabidi nichomoke home mapema sana kabla wale bodaboda wa kitaani hawajaamka.
  4. Flano

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona Arsenyashi sisi tulimkazia vizuri tu na points zetu 3 tukachukua, Nyie Chelkenge ndio mlijifanya mbuzi mkainua mkia juu na kumruhusu aingize yote Kenge kabisa nyie. Na huyo Xabi Alosto nae mtamfukuza tu, baada ya Roman Abramovic kudhulumiwa haki yake...
  5. Flano

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kilichobaki kwetu sisi Man Utd kamati ya roho mbaya ni kumuachia tu Brighton ashinde mechi iliyosalia, huku tukizidisha dua kuwaombea Brentford na Sundarland kila mmoja ashinde mechi yake ya mwisho ili Chelkenge asipate hata nafasi ya kushiriki kwenye conference...
  6. Flano

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chelkenge yana mak£nde halafu kumbe Mas£ng……
  7. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    .
  8. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji23][emoji23] Hivi wanetu mko serious kweli au ndio ile nguvu ya energy drink anayoizungumzia Castro Oil? Tutaweka wapi sura zetu sisi, Eeehhh Mungu muweza wa yote ikiwezekana kikombe hiki kituepuke, walakini si kama tutakavyo sisi, bali kama utakavyo wewe.
  9. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Wahuni wamelikimbia kabisa jukwaa lao, wapenzi wasindikizaji tayari machale yameshawacheza.
  10. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Fulham ni timu yangu ya utotoni kabisa, Mungu tunaomba sare tu leo wala hatuombi makubwa.
  11. Flano

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kabisaaa aiseee Tutafungwa na kina Grimsby, Leeds, Burnley ila sio kina Chelkenge, Arsenyau wala Liverpunda.
  12. Flano

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chelkenge leo mmeingia mkenge mkaishia kukalia k3nde.
  13. Flano

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Chelkenge leo kaingia mkenge.
  14. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa kama mmeshindwa tu kumzuia Bournemouth nyumbani kwenu, kweli mtaweza kuwazuia kina O'Reilly nyumbani kwao? Tetea Kiwigi jana baada ya kipigo alijitetea kua vita ya Marekani na Iran imepunguza sana molari ya wachezaji wake, hivyo msimu huu hata asipotwaa...
  15. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyo ni kama tu wale mawinga wa kariakoo, ukimkuta kakaa kwenye kile kiti cha kuzunguka anavimba utafikiri kweli duka ni lake, ikifika muda wa kufunga hesabu lazima anyanyuke ampishe mwenye duka lake[emoji16][emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom