[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hongereni sana wanangu wa Arsenyau kwa msaada wa VAR kufanikiwa kubeba English Corner Trophy msimu huu.
Hii ni fedheha kubwa mno kwa ulimwengu wa Soccer.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaahhh huku mtaani kwa sasa tunaishi kwa tabu sana aiseee, yaani inabidi nichomoke home mapema sana kabla wale bodaboda wa kitaani hawajaamka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona Arsenyashi sisi tulimkazia vizuri tu na points zetu 3 tukachukua, Nyie Chelkenge ndio mlijifanya mbuzi mkainua mkia juu na kumruhusu aingize yote Kenge kabisa nyie.
Na huyo Xabi Alosto nae mtamfukuza tu, baada ya Roman Abramovic kudhulumiwa haki yake...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kilichobaki kwetu sisi Man Utd kamati ya roho mbaya ni kumuachia tu Brighton ashinde mechi iliyosalia, huku tukizidisha dua kuwaombea Brentford na Sundarland kila mmoja ashinde mechi yake ya mwisho ili Chelkenge asipate hata nafasi ya kushiriki kwenye conference...
[emoji23][emoji23] Hivi wanetu mko serious kweli au ndio ile nguvu ya energy drink anayoizungumzia Castro Oil?
Tutaweka wapi sura zetu sisi,
Eeehhh Mungu muweza wa yote ikiwezekana kikombe hiki kituepuke, walakini si kama tutakavyo sisi, bali kama utakavyo wewe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa kama mmeshindwa tu kumzuia Bournemouth nyumbani kwenu, kweli mtaweza kuwazuia kina O'Reilly nyumbani kwao?
Tetea Kiwigi jana baada ya kipigo alijitetea kua vita ya Marekani na Iran imepunguza sana molari ya wachezaji wake, hivyo msimu huu hata asipotwaa...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyo ni kama tu wale mawinga wa kariakoo, ukimkuta kakaa kwenye kile kiti cha kuzunguka anavimba utafikiri kweli duka ni lake, ikifika muda wa kufunga hesabu lazima anyanyuke ampishe mwenye duka lake[emoji16][emoji16][emoji16]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.