Recent content by Flano

  1. Flano

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Huyu akiwahiwa anapona kabisa, ndio kwanza yupo kwenye first stage.
  2. Flano

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    🤣🤣🤣Bottlers fc AKA try again next season…..
  3. Flano

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Ninachompendea Tetea Kiwigi ni jasiri na hayumbishwi na kelele za misukule kwenye misimamo yake. Mitano tena kwa Kiwigi kocha la makombe.
  4. Flano

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    😁😁😁 Wazee wa Haramu football, jana wamepigiwa Halal football wenyewe wakatanua mapaja.
  5. Flano

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Baada ya kukosa Epl naomba pia uje na kauli hizihizi za kujifariji.
  6. Flano

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tetea Kiwigi ni kocha wa makombe makubwa Uefa na Epl sio hizo takataka za carabao.
  7. Flano

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Tetea Kiwigi ni kocha wa makombe makubwa kama vile Uefa na Epl. Kwanza hii Kalagabaho kapu na MwanaFA sio kipaumbele chetu msimu huu. Alisikika mgonjwa mmoja toka hospitali ya mifupa Milembe Hospital ya kule mjini Dodoma akiwafariji wagonjwa wenzake.
  8. Flano

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Kwenye hii takwimu mimi kama shabiki wa nyumbu kura yangu naomba waitoe kwa hizi kima waihamishie kwa Mancity haraka sana.
  9. Flano

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Amini nakwambia huyo Rosemary ni bonge la kocha, kikubwa dirisha kubwa mumuongezee marastafari watatu na roba moja la Skanka.
  10. Flano

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    🤣🤣🤣 ila we jamaaaa
  11. Flano

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Cheusiiiii wana kocha mzuri ila hawajui namna ya kumtumia tu.
  12. Flano

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Stress za Cheusiiii naona umeamua uje uzipunguzie humu.
  13. Flano

    Sikukuu ya kipagani ya Iran imegeuka kuwa fursa ya vita vya kisaikolojia vya Benjamin Netanyahu

    🤣🤣🤣 Ukiachana na hizi chuki za Masingeli dhidi ya Uislamu ila Waislamu wenyewe ni watu poa sana, mwana kakaribishwa leo kaenda kula pilau la iddi na pilau lingine wamemfungia kwenye mfuko atakula usiku, kashavimbiwa sasa hivi anawakandia😂😂😂
  14. Flano

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  15. Flano

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    🤣🤣🤣 Picha ya lembu baada ya dakika 90 vs Psg. Kweli nimeamini Chelkenge ni kilabu bingwa cha pombe za kienyeji duniani.
Back
Top Bottom