[emoji106] Mbege10 wewe ni shabiki pekee humu wa Arsenal anaejielewa.
Wenzio karibia wote hawapendi kuona mtu anazungumzia mapungufu na madhaifu ya timu yao, hivyo jiandae kisakolojia kabisa kukosolewa, kubezwa, kutukanwa, kuitwa mamluki.
Humu kuna misukule mingi yaani hata uje na facts yenyewe...