Recent content by Flano

  1. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wapenzi watazamaji.
  2. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa walevi ni wa kuwapuuza tu sio wa kuwazingatia sana, mapenzi kwa hayo magalasa yao yamewafanya mpaka wamekua vipofu, kuna kipindi yalikua yanashupaza shingo na kudai kua Martin Ødegaard ndio best midfielder Epl, tena yakakufuru kabisa kwa kumlinganisha na...
  3. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ni fact mkuu, huyu Mbege10 nimemfatilia muda mrefu sana jamaa anajua ball, tatizo lake ni kushabikia timu ya wanazi ambao wanachojua wao ni mapambio tu, hawataki kabisa kuona mtu mwenye mtazamo tofauti na wao wanavyotaka. HENRY14 Wewe mwenyewe upo humu muda...
  4. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji106] Mbege10 wewe ni shabiki pekee humu wa Arsenal anaejielewa. Wenzio karibia wote hawapendi kuona mtu anazungumzia mapungufu na madhaifu ya timu yao, hivyo jiandae kisakolojia kabisa kukosolewa, kubezwa, kutukanwa, kuitwa mamluki. Humu kuna misukule mingi yaani hata uje na facts yenyewe...
  5. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Akapita akaenda zake.
  6. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    .
  7. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Masingeli anakwambia usitegemee kubeba kombe la maana kama Uefa kwa huu mpira wa papatu papatu wanaocheza Arsenyashi, yaani timu haipati matokeo mpaka wamzongezonge kipa wakipata kona. Inshort Masingeli hapendezwi kabisa na hii Haram football aliyokuja nayo...
  8. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aiseee ila Admin wa Chelsea kwenye Insta page yao ana roho mbaya sana aiseee, sio kwa hayo masimango aliyopost baada ya Arsenyau kukosa Uefa.
  9. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nilitaka kushangaa yaani msimu huu kwenye hii michuano yooote Arsenyau akose kumaliza nafasi ya pili kweli? Hatujawazoea kabisa hivyo ndugu zetu.
  10. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau mmeidhalilisha Epl aiseee, yaani wenzenu wote walioshiriki michuano ya ulaya msimu huu wameleta makombe nyumbani halafu nyinyi mnarudi mikono mitupu hamuoni hata aibu?
  11. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Japo mmekosa kombe ila hongereni sana wanangu wote wa Gunners, msimu huuTetea Kiwigi walau ameonesha ameanza kua matured. Sikutegemea kabisa kwa kocha kutoka Spain tena mwanafunzi wa Pep angeweza kuachana na sexy football akahamia kwenye Haram...
  12. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau wamehangaika zaidi ya miongo miwili na pira biriani lakini walikua wanaangukia pua, Tetea Kiwigi alivyoamua kutwist kwenye Haram Football walau imemlipa, ila pia ubingwa wao umetokana na fomu mbovu ya Man City, Liverpool, Chelkenge na Man Utd bila...
  13. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Toeni pesa kenge nyie, ubahili wenu ndio uliowafanya mkasota miongo miwili bila kubeba kombe la maana, mlivyoamua kuvunja kibubu mkamsajili Ubwabwa bila mchuzi na huyo Kokores imewalipa, hao wachezaji wenu wa eftatu tatu waliwachelewesha sana mbuzi katoliki nyie.
  14. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Roho inauma kinoma huku mtaani tunaishi kwa shida sana, ila sio mbaya furaha yetu tumemuachia PSG tunajua hawezi kutuangusha.
  15. Flano

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hongereni sana wanangu wa Arsenyau kwa msaada wa VAR kufanikiwa kubeba English Corner Trophy msimu huu. Hii ni fedheha kubwa mno kwa ulimwengu wa Soccer.
Back
Top Bottom