🤣🤣🤣 Tetea Kiwigi ni kocha wa makombe makubwa kama vile Uefa na Epl.
Kwanza hii Kalagabaho kapu na MwanaFA sio kipaumbele chetu msimu huu.
Alisikika mgonjwa mmoja toka hospitali ya mifupa Milembe Hospital ya kule mjini Dodoma akiwafariji wagonjwa wenzake.
🤣🤣🤣 Ukiachana na hizi chuki za Masingeli dhidi ya Uislamu ila Waislamu wenyewe ni watu poa sana, mwana kakaribishwa leo kaenda kula pilau la iddi na pilau lingine wamemfungia kwenye mfuko atakula usiku, kashavimbiwa sasa hivi anawakandia😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.