Recent content by FJM

  1. F

    JamiiForums Tanzania Diamond amkabidhi Makonda madawati 600 kwa ajili ya shule za jijini Dar es Salaam

    Nampongeza Diamond kwa moyo wake wa kujitolea. Lakini ingependeza kama Diamond angevaa mavai ya Kitanzania mfano mgololi wa Kimasai badala ya hayo mavazi ya Kinageria. Natambua mavazi is a personal choice lakini kwa muda nimekuwa nahisi Diamond pamoja na mafanikio makubwa kwenye sanaa ya muziki...
  2. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliyeandaa mashambulizi ya Garissa auawa

    Habari njema na nipenda ziwe za kweli, kweli tu. Lakini kwanini taarifa zinatoka siku moja baada ya CNN kureport kuhusu wanajeshi 141 wa Kenya waliouwawa na serikali yao ikakaa kimya?
  3. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya covers up military massacre

    141 media zote kimya? how? Na file NGOs zetu nazo kimya?
  4. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Somalia yaishtaki Kenya

    Naona Kenya wameamua kuwekeza kwenye vita endelevu na al-shaabab. In all probability, wakichukua hicho kipande Kenya will never be at peace, shaabab watawapigisha kwata mchana na usiku milele.
  5. F

    JamiiForums Tanzania Tunamuondoaje? Tengenezeni Happy hour kwenye baa

    Ukweli Watanzania tumezidi kwa gossip! Na ukiangalia mijadala mingi unapata shida sana maana inaonekana tunatumia muda mwingi kuongea siasa.
  6. F

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo maandishi ya kwenye Sanamu la Askari

    Historia haitunzwi kwa sababu tu inaeleza mambo mazuri, bali inatunzwa kwa sababu inaeleza matukio muhimu ambayo vizazi vijavyo vinatakiwa kujua ili kuepuka au kuboresha mambo fulani kwa ustawi mzuri wa jamii. Tanganyika ilishiriki vita vya dunia na baadhi ya washiriki walipoteza maisha. Hata...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Mbunge: Tubomoe sanamu ya askari tuweke sanamu ya Diamond pale Posta

    Siku hizi hawafundishi somo la historia? au ndio mambo ya St St?
  8. F

    JamiiForums Tanzania Mvutano waibuka kati ya Kikwete na Magufuli juu ya ukatibu wa bunge, asita kuachia madaraka

    Kwanini JK amchagulie Magufuli watu wa kufanya kazi naye? Au mtoa mada kakosea mahali?
  9. F

    JamiiForums Tanzania Ni Kipi Ambacho Magufuli Anafanya Tofauti na Alivyo?

    Hadi sasa naweza kusema rais Magufuli amefanikiwa jambo moja kubwa, amefunua unafiki wetu sisi Watanzania. Kwa muda mrefu watu walikuwa wanalalamika kuhusu mambo mengi mfano, rais anasifiri sana, serikali haikusanyi kodi, warsha na semina zimezidi. Sasa kaingia Magufuli na kufanya kweli, ghafla...
  10. F

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais na Serikali wanawahadaa wafanyakazi kuhusu punguzo la kodi?

    Kwa kutumia mfano wa 3,800, zidisha mara watu 2,500,000 halafu mara 12 ndio utajua ni punguzo kiasi gani. Halafu jaribu kusema hiyo gap utaziba na nini wakati huo huo kuna wabunge wanataka serikali hiyo hiyo irudushi warsha na semina? Hivyo nyie ADC mnapendekeza nini?
  11. F

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Askari wa Usalama Barabarani aliyetukanwa na Mke wa Waziri apandishwe cheo

    Hiki ndicho kitu kilikuwa kinakosekana Tanzania. Mtu akiwa kiongozi mfano waziri, basi familia nzima nayo inakuwa ni mawaziri. Walau sasa tutaheshimiana.
  12. F

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe amshukia Charles Kitwanga, waziri wa mambo ya ndani

    Kwa hiyo size ya Zitto ni Magufuli... haya bwana!
  13. F

    JamiiForums Tanzania Dr. Ngwale ni nani katika serikali ya Magufuli

    Rais anakuwa na daktari mmoja tu, vipi huyo daktari naye akiugua? Na nani anayeteua daktari, mgonjwa mwenyewe ana sauti katika mchakato wa kumpata daktari wake? Nauliz tu...
  14. F

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Christina Lissu afariki Dunia jijini Dar

    Natoa pole za dhati kwa Tundu Lissu na wanafamilia wote kwa huu msiba mzito. Dada Christina anaondoka akiwa bado kijana sana na hakika anaacha pengo kubwa kwa familia na jamii ya Watanzania. Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema na awape nguvu wote waliofikwa na msiba huu mzito.
  15. F

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe, halipwi mshahara wowote na chama wala posho

    Pengine ungeweka akiba ya maneno.
Back
Top Bottom