ally ngomanzito
Member
- Oct 7, 2015
- 86
- 108
Ndugu zangu wana JF tayari kuna msuguano mkubwa umeibuka ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) baina ya katibu mkuu Kinana na mwenyekiti JK chanzo kikitajwa kuwa ni nafasi ya ukatibu mkuu wa bunge wa chama cha mapinduzi.
Hii ni baada ya kuibuka mvutano mkubwa mwingine baina ya Mh RAIS JPM NA JK kwakuwa kila mmoja kuwa na chaguo lake.Huku JPM akitaka Mh Rweikiza ndio awe katibu na JK akitaka awe kati ya mama Chatanda ama Mh Ulega
Kutokana na mvutano huo uliojitokeza Katika kikao hicho kilichofanyika jana Mh JK kasita kutangaza siku ya Mkutano Mkuu Maalum wa kuachia madaraka ya Uenyekiti
Kutoka kwa vyanzo vya ndani ya CC jana walikua na ajenda ya tarehe ya mkutano mkuu ila kabla ya mkutano kuanza ndio kilifanyika kikao kidogo likichohudhuriwa na watu 4 ambao ni JK,MAGU,MAMA SAMIA NA KINANA.
Na ndipo baada baada ya kikao hicho JK alirudi kuondoa ajenda hiyo kwa hoja kuwa ilikuwa haijaandaliwa vizuri na kuahirisha kikao cha CC.
Sasa kikao cha Baraza la wazee kitaitwa katika siku chache zijazo ili kumlazimisha JK kuacha.
Hii ni baada ya kuibuka mvutano mkubwa mwingine baina ya Mh RAIS JPM NA JK kwakuwa kila mmoja kuwa na chaguo lake.Huku JPM akitaka Mh Rweikiza ndio awe katibu na JK akitaka awe kati ya mama Chatanda ama Mh Ulega
Kutokana na mvutano huo uliojitokeza Katika kikao hicho kilichofanyika jana Mh JK kasita kutangaza siku ya Mkutano Mkuu Maalum wa kuachia madaraka ya Uenyekiti
Kutoka kwa vyanzo vya ndani ya CC jana walikua na ajenda ya tarehe ya mkutano mkuu ila kabla ya mkutano kuanza ndio kilifanyika kikao kidogo likichohudhuriwa na watu 4 ambao ni JK,MAGU,MAMA SAMIA NA KINANA.
Na ndipo baada baada ya kikao hicho JK alirudi kuondoa ajenda hiyo kwa hoja kuwa ilikuwa haijaandaliwa vizuri na kuahirisha kikao cha CC.
Sasa kikao cha Baraza la wazee kitaitwa katika siku chache zijazo ili kumlazimisha JK kuacha.