Mvutano waibuka kati ya Kikwete na Magufuli juu ya ukatibu wa bunge, asita kuachia madaraka

Oct 7, 2015
86
108
Ndugu zangu wana JF tayari kuna msuguano mkubwa umeibuka ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) baina ya katibu mkuu Kinana na mwenyekiti JK chanzo kikitajwa kuwa ni nafasi ya ukatibu mkuu wa bunge wa chama cha mapinduzi.

Hii ni baada ya kuibuka mvutano mkubwa mwingine baina ya Mh RAIS JPM NA JK kwakuwa kila mmoja kuwa na chaguo lake.Huku JPM akitaka Mh Rweikiza ndio awe katibu na JK akitaka awe kati ya mama Chatanda ama Mh Ulega

Kutokana na mvutano huo uliojitokeza Katika kikao hicho kilichofanyika jana Mh JK kasita kutangaza siku ya Mkutano Mkuu Maalum wa kuachia madaraka ya Uenyekiti

Kutoka kwa vyanzo vya ndani ya CC jana walikua na ajenda ya tarehe ya mkutano mkuu ila kabla ya mkutano kuanza ndio kilifanyika kikao kidogo likichohudhuriwa na watu 4 ambao ni JK,MAGU,MAMA SAMIA NA KINANA.

Na ndipo baada baada ya kikao hicho JK alirudi kuondoa ajenda hiyo kwa hoja kuwa ilikuwa haijaandaliwa vizuri na kuahirisha kikao cha CC.

Sasa kikao cha Baraza la wazee kitaitwa katika siku chache zijazo ili kumlazimisha JK kuacha.
 
Wajumbe wa NEC kwa tiketi ya wabunge na Katibu wa Kamati ya Wabunge wote wa CCM hawapatikani kwa kuteuliwa bali kwa kuchaguliwa kwa njia ya kura.

Uamuzi niwa wabunge wenyewe ndiyo maana kuna idadi ya majina ambayo ni mara mbili ya nafasi zilizoombwa. Kwenye ukatibu wa wabunge kuna majina manne wakati linalotakiwa ni jina moja.

Ninadhani hizi hoja za kusema sijui Kikwete anamchagulia watu wake Rais Magufuli ni porojo tu za kwenye vijiwe vya kawaha.
 
Jk hana watu ndani ya kamati kuu , wote aligombana nao siku alipotoa majina yake mfukoni na kukata la mamvi. Hata wakiita wazee jk akikataa kuachia ngazi atakaa hadi muda wake kikatiba uishe. Kuachiana uwenyekiti ni utaratibu ulioasisiwa na mwl ambao haupo kwenye katiba ya chama
 
Mhh! Kama hii habari IPO sawa nahisi kuna kutokuaminiana kunaanza kujitokeza ngoja tusubiri tuone kifuatacho.
Ndugu zangu wana JF tayari kuna msuguano mkubwa umeibuka ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) baina ya katibu mkuu Kinana na mwenyekiti JK chanzo kikitajwa kuwa ni nafasi ya ukatibu mkuu wa bunge wa chama cha mapinduzi.hii ni baada ya kuibuka mvutano mkubwa mwingine baina ya Mh RAIS JPM NA JK kwakuwa kila mmoja kuwa na chaguo lake.Huku JPM akitaka Mh Rweikiza ndio awe katibu na JK akitaka awe kati ya mama Chatanda ama Mh Ulega

Kutokana na mvutano huo uliojitokeza Katika kikao hicho kilichofanyika jana Mh JK kasita kutangaza siku ya Mkutano Mkuu Maalum wa kuachia madaraka ya Uenyekiti

kutoka kwa vyanzo vya ndani ya CC jana walikua na ajenda ya tarehe ya mkutano mkuu ila kabla ya mkutano kuanza ndio kilifanyika kikao kidogo likichohudhuriwa na watu 4 ambao ni JK,MAGU,MAMA SAMIA NA KINANA. Na ndipo baada baada ya kikao hicho JK alirudi kuondoa ajenda hiyo kwa hoja kuwa ilikuwa haijaandaliwa vizuri na kuahirisha kikao cha CC.

sasa kikao cha Baraza la wazee kitaitwa katika siku chache zijazo ili kumlazimisha JK kuacha
 
JK hahitaji kuwa na jina la katibu wa wabunge wa CCM, JK ni Raisi Mstaafu, JPM naye wala hahitaji kuwa na jina lake la katibu wa wabunge wa CCM kama kweli ana nia ya dhati ya kulifanya bunge liwe huru na pia kutolazimisha matakwa ya chama kwa wabunge wake
 
Kwanini JK amchagulie Magufuli watu wa kufanya kazi naye? Au mtoa mada kakosea mahali?
nawe sijui upo dunia gani magufuli hachaguliwi na yeye hachagui watu wa kufanya naye kazi kumbuka hicho ni chama na wala si uteuzi wa vyeo vya serikali.
 
Ndugu zangu wana JF tayari kuna msuguano mkubwa umeibuka ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) baina ya katibu mkuu Kinana na mwenyekiti JK chanzo kikitajwa kuwa ni nafasi ya ukatibu mkuu wa bunge wa chama cha mapinduzi.hii ni baada ya kuibuka mvutano mkubwa mwingine baina ya Mh RAIS JPM NA JK kwakuwa kila mmoja kuwa na chaguo lake.Huku JPM akitaka Mh Rweikiza ndio awe katibu na JK akitaka awe kati ya mama Chatanda ama Mh Ulega

Kutokana na mvutano huo uliojitokeza Katika kikao hicho kilichofanyika jana Mh JK kasita kutangaza siku ya Mkutano Mkuu Maalum wa kuachia madaraka ya Uenyekiti

kutoka kwa vyanzo vya ndani ya CC jana walikua na ajenda ya tarehe ya mkutano mkuu ila kabla ya mkutano kuanza ndio kilifanyika kikao kidogo likichohudhuriwa na watu 4 ambao ni JK,MAGU,MAMA SAMIA NA KINANA. Na ndipo baada baada ya kikao hicho JK alirudi kuondoa ajenda hiyo kwa hoja kuwa ilikuwa haijaandaliwa vizuri na kuahirisha kikao cha CC.

sasa kikao cha Baraza la wazee kitaitwa katika siku chache zijazo ili kumlazimisha JK kuacha
Kumlazimisha JK kuacha nini?
 
Back
Top Bottom