Kwanini Rais na Serikali wanawahadaa wafanyakazi kuhusu punguzo la kodi?

Tume ya Katiba

JF-Expert Member
Apr 6, 2012
4,896
1,862
Wanabarza,
Nimeamua kufungua macho watu kidogo kwa kile kilichotangazwa na Mh Pombe juu ya punguzo la kodi kwa daraja la pili toka 11 hadi 9%, kwa kweli sijui kama watu wanaelewa manufaa ya punguzo hili au la, nimeamua kuweka mchanganuo huo hapo chini.

1 Mapato yasiyozidi sh. 170,000/= Hakuna Kodi mabadiliko Hakuna kodi

2 Mapato yanayozidi sh. 170,000/= lakini hayazidi sh. 360,000/= 11% ya kiasi kinachozidi sh. 170,000/= mabadiliko 9% ya kiasi kinachozidi 170,000/=

3 Mapato yanayozidi sh. 360,000/= lakini hayazidi sh. 540,000/= Sh. 20,900/= ongeza 20% ya kiasi kinachozidi sh. 360,000/=
mabadiliko 17,100/= ongeza 20% ya kinachozidi 360,000/=

4 Mapato yanayozidi sh. 540,000/= lakini hayazidi sh. 720,000/= Sh. 56,900/= ongeza 25% ya kiasi kinachozidi sh. 540,000/=
mabadiliko Sh. 53100/=/= ongeza 25% ya kiasi kinachozidi sh. 540,000/=

5 Mapato yanayozidi sh. 720,000/= Sh. 101,900/= ongeza 30% ya kiasi kinachozidi sh. 720 ,000/=
mabadiliko Sh. 98100/= ongeza 30% ya kiasi kinachozidi sh. 720 ,000/=


Tatizo na malalamiko ya kodi sio kwenda single digit, wajameni...tatizo ni marekebisho kwa madaraja ya kodi yote.

Kwa punguzo hilo hapo juu ambalo watu wanashangilia nitatoa mifano michache ili watu wajue uhalisia wa hiyo "Nafuu" ambayo watu wanashangilia mitaani....
Mfano mtu aliyekuwa anapata gross ya sh 1000,000 kodi yake ilipaswa kuwa 101900+0.3x280,000 = 185,900
baada ya punguzo hilo atalipa 98100+0.3x280,000=182100

MUHIMU: hiyo 1,000,000 ni baada ya kuondoa 5% ya pspf/nssf na 3% ya NHIF kwa wafanyakazi wa sirikali..... kumbuka, kabla ya kukokotoa pesa ya kodi pesa za mfuko wa hifadhi na pesa za bima ya afya huondolewa kwenye ukokotoaji.


kwa hiyo punguzo hilo la 11% hadi 9% kwa huyu bwana litakuwa sh 3800/=

Hivi jamani hii inamrahisishia vipi maisha mtu wa kawaida?

Kwa mtazamo wangu mimi ni kuwa, punguzo la % la kodi litolewe kwa makundi yote , pia madaraja ya kodi yaongezwe, mfano mtu daraja la chini kabisa lipande toka 170,000 hadi sh 400,000 kwa mwezi na mtu yoyote anayepokea chini ya 400,000 asilipe kodi. Pia asilimia za ziada ya madaraja zishuke kwa japo 5%.


na mwisho ni kuongeza idadi ya madaraja, la mwisho lisiwe 720,000 liwe zaidi ya milioni mbili.

Asanteni

Wenu Tume ya katiba

Mcheza pool table maarufu





 
Wanabarza,
Nimeamua kufungua macho watu kidogo kwa kile kilichotangazwa na Mh Pombe juu ya punguzo la kodi kwa daraja la pili toka 11 hadi 9%, kwa kweli sijui kama watu wanaelewa manufaa ya punguzo hili au la, nimeamua kuweka mchanganuo huo hapo chini.

1 Mapato yasiyozidi sh. 170,000/= Hakuna Kodi mabadiliko Hakuna kodi

2 Mapato yanayozidi sh. 170,000/= lakini hayazidi sh. 360,000/= 11% ya kiasi kinachozidi sh. 170,000/= mabadiliko 9% ya kiasi kinachozidi 170,000/=

3 Mapato yanayozidi sh. 360,000/= lakini hayazidi sh. 540,000/= Sh. 20,900/= ongeza 20% ya kiasi kinachozidi sh. 360,000/=
mabadiliko 17,100/= ongeza 20% ya kinachozidi 360,000/=

4 Mapato yanayozidi sh. 540,000/= lakini hayazidi sh. 720,000/= Sh. 56,900/= ongeza 25% ya kiasi kinachozidi sh. 540,000/=
mabadiliko Sh. 53100/=/= ongeza 25% ya kiasi kinachozidi sh. 540,000/=

5 Mapato yanayozidi sh. 720,000/= Sh. 101,900/= ongeza 30% ya kiasi kinachozidi sh. 720 ,000/=
mabadiliko Sh. 98100/= ongeza 30% ya kiasi kinachozidi sh. 720 ,000/=


Tatizo na malalamiko ya kodi sio kwenda single digit, wajameni...tatizo ni marekebisho kwa madaraja ya kodi yote.

Kwa punguzo hilo hapo juu ambalo watu wanashangilia nitatoa mifano michache ili watu wajue uhalisia wa hiyo "Nafuu" ambayo watu wanashangilia mitaani....
Mfano mtu aliyekuwa anapata gross ya sh 1000,000 kodi yake ilipaswa kuwa 101900+0.3x280,000 = 185,900
baada ya punguzo hilo atalipa 98100+0.3x280,000=182100


kwa hiyo punguzo hilo la 11% hadi 9% kwa huyu bwana litakuwa sh 3800/=

Hivi jamani hii inamrahisishia vipi maisha mtu wa kawaida?

Kwa mtazamo wangu mimi ni kuwa, punguzo la % la kodi litolewe kwa makundi yote , pia madaraja ya kodi yaongezwe, mfano mtu daraja la chini kabisa lipande toka 170,000 hadi sh 400,000 kwa mwezi na mtu yoyote anayepokea chini ya 400,000 asilipe kodi. Pia asilimia za ziada ya madaraja zishuke kwa japo 5%.


na mwisho ni kuongeza idadi ya madaraja, la mwisho lisiwe 720,000 liwe zaidi ya milioni mbili.

Asanteni

Wenu Tume ya katiba

Mcheza pool table maarufu




If this calculation is true, then workers are in pain as usual!
 
Mkuu mimi huwa siwaelewi hawa wanaodai kodi ipunguzwe ifike singe digit, wakati % kwa madaraja mengine ikibakia vile vile.
Nakwambia, tatizo la watanzania ni kushangilia bila kufikiri. Kwa vile watu walio wengi wamekunywa maji ya Chato, hakuna anayefikiri. Wakisoma mfano wako watakosa usingizi! Ukisema Mkubwa hajafanya cha kusaidia wanasema humpendi mkubwa, hapana tunaongea ukweli kama huo!
 
Wanabarza,
Nimeamua kufungua macho watu kidogo kwa kile kilichotangazwa na Mh Pombe juu ya punguzo la kodi kwa daraja la pili toka 11 hadi 9%, kwa kweli sijui kama watu wanaelewa manufaa ya punguzo hili au la, nimeamua kuweka mchanganuo huo hapo chini.

1 Mapato yasiyozidi sh. 170,000/= Hakuna Kodi mabadiliko Hakuna kodi

2 Mapato yanayozidi sh. 170,000/= lakini hayazidi sh. 360,000/= 11% ya kiasi kinachozidi sh. 170,000/= mabadiliko 9% ya kiasi kinachozidi 170,000/=

3 Mapato yanayozidi sh. 360,000/= lakini hayazidi sh. 540,000/= Sh. 20,900/= ongeza 20% ya kiasi kinachozidi sh. 360,000/=
mabadiliko 17,100/= ongeza 20% ya kinachozidi 360,000/=

4 Mapato yanayozidi sh. 540,000/= lakini hayazidi sh. 720,000/= Sh. 56,900/= ongeza 25% ya kiasi kinachozidi sh. 540,000/=
mabadiliko Sh. 53100/=/= ongeza 25% ya kiasi kinachozidi sh. 540,000/=

5 Mapato yanayozidi sh. 720,000/= Sh. 101,900/= ongeza 30% ya kiasi kinachozidi sh. 720 ,000/=
mabadiliko Sh. 98100/= ongeza 30% ya kiasi kinachozidi sh. 720 ,000/=


Tatizo na malalamiko ya kodi sio kwenda single digit, wajameni...tatizo ni marekebisho kwa madaraja ya kodi yote.

Kwa punguzo hilo hapo juu ambalo watu wanashangilia nitatoa mifano michache ili watu wajue uhalisia wa hiyo "Nafuu" ambayo watu wanashangilia mitaani....
Mfano mtu aliyekuwa anapata gross ya sh 1000,000 kodi yake ilipaswa kuwa 101900+0.3x280,000 = 185,900
baada ya punguzo hilo atalipa 98100+0.3x280,000=182100


kwa hiyo punguzo hilo la 11% hadi 9% kwa huyu bwana litakuwa sh 3800/=

Hivi jamani hii inamrahisishia vipi maisha mtu wa kawaida?

Kwa mtazamo wangu mimi ni kuwa, punguzo la % la kodi litolewe kwa makundi yote , pia madaraja ya kodi yaongezwe, mfano mtu daraja la chini kabisa lipande toka 170,000 hadi sh 400,000 kwa mwezi na mtu yoyote anayepokea chini ya 400,000 asilipe kodi. Pia asilimia za ziada ya madaraja zishuke kwa japo 5%.

Kwa kutumia mfano wa 3,800, zidisha mara watu 2,500,000 halafu mara 12 ndio utajua ni punguzo kiasi gani. Halafu jaribu kusema hiyo gap utaziba na nini wakati huo huo kuna wabunge wanataka serikali hiyo hiyo irudushi warsha na semina?

Hivyo nyie ADC mnapendekeza nini?
 
Kwa kutumia mfano wa 3,800, zidisha mara watu 2,500,000 halafu mara 12 ndio utajua ni punguzo kiasi gani. Halafu jaribu kusema hiyo gap utaziba na nini wakati huo huo kuna wabunge wanataka serikali hiyo hiyo irudushi warsha na semina?

Hivyo nyie ADC mnapendekeza nini?
Sijakuelewa kwa nini uzidishe mara 2,500,000. Nielimishe tafadhali
 
Wanabarza,
Nimeamua kufungua macho watu kidogo kwa kile kilichotangazwa na Mh Pombe juu ya punguzo la kodi kwa daraja la pili toka 11 hadi 9%, kwa kweli sijui kama watu wanaelewa manufaa ya punguzo hili au la, nimeamua kuweka mchanganuo huo hapo chini.

1 Mapato yasiyozidi sh. 170,000/= Hakuna Kodi mabadiliko Hakuna kodi

2 Mapato yanayozidi sh. 170,000/= lakini hayazidi sh. 360,000/= 11% ya kiasi kinachozidi sh. 170,000/= mabadiliko 9% ya kiasi kinachozidi 170,000/=

3 Mapato yanayozidi sh. 360,000/= lakini hayazidi sh. 540,000/= Sh. 20,900/= ongeza 20% ya kiasi kinachozidi sh. 360,000/=
mabadiliko 17,100/= ongeza 20% ya kinachozidi 360,000/=

4 Mapato yanayozidi sh. 540,000/= lakini hayazidi sh. 720,000/= Sh. 56,900/= ongeza 25% ya kiasi kinachozidi sh. 540,000/=
mabadiliko Sh. 53100/=/= ongeza 25% ya kiasi kinachozidi sh. 540,000/=

5 Mapato yanayozidi sh. 720,000/= Sh. 101,900/= ongeza 30% ya kiasi kinachozidi sh. 720 ,000/=
mabadiliko Sh. 98100/= ongeza 30% ya kiasi kinachozidi sh. 720 ,000/=


Tatizo na malalamiko ya kodi sio kwenda single digit, wajameni...tatizo ni marekebisho kwa madaraja ya kodi yote.

Kwa punguzo hilo hapo juu ambalo watu wanashangilia nitatoa mifano michache ili watu wajue uhalisia wa hiyo "Nafuu" ambayo watu wanashangilia mitaani....
Mfano mtu aliyekuwa anapata gross ya sh 1000,000 kodi yake ilipaswa kuwa 101900+0.3x280,000 = 185,900
baada ya punguzo hilo atalipa 98100+0.3x280,000=182100


kwa hiyo punguzo hilo la 11% hadi 9% kwa huyu bwana litakuwa sh 3800/=

Hivi jamani hii inamrahisishia vipi maisha mtu wa kawaida?

Kwa mtazamo wangu mimi ni kuwa, punguzo la % la kodi litolewe kwa makundi yote , pia madaraja ya kodi yaongezwe, mfano mtu daraja la chini kabisa lipande toka 170,000 hadi sh 400,000 kwa mwezi na mtu yoyote anayepokea chini ya 400,000 asilipe kodi. Pia asilimia za ziada ya madaraja zishuke kwa japo 5%.


na mwisho ni kuongeza idadi ya madaraja, la mwisho lisiwe 720,000 liwe zaidi ya milioni mbili.

Asanteni

Wenu Tume ya katiba

Mcheza pool table maarufu




soma post no 5lease
 
Kwa kutumia mfano wa 3,800, zidisha mara watu 2,500,000 halafu mara 12 ndio utajua ni punguzo kiasi gani. Halafu jaribu kusema hiyo gap utaziba na nini wakati huo huo kuna wabunge wanataka serikali hiyo hiyo irudushi warsha na semina?

Hivyo nyie ADC mnapendekeza nini?

Mkuu habari za masiku, kweli punguzo la sh 3000 litampunguzia vipi raia wa kawaida ugumu wa maisha? Mkuu nimechukua kadi ya ACT wazalendo, ingawa zitto leo kanisikitisha sana kufurahia punguzo la sh 3000 kuwa litawepesisha maisha ya wafanyakazi.
 
soma post no 5lease

Mkuu lengo la serikali ni kuwapunguzia wafanyakazi mzigo wa kodi, na ndivyo wanavyojinasibu katika taarifa yao iliyotolewa "kwa sauti kubwa" leo, mimi nilichofanya ni kuwaonyesha watu kuwa kwa mtu mmoja mmoja hilo punguzo ni mzaa na utani. Serikali lazima ibuni vyanzo vingine vya mapato sio kumnyonya mfanyakazi tu. Bado kodi ni kubwa mno.
 
Kwa kwelii, huyu muheshimiwa pendwa wetu, leo sijaamini hiki nilichosikia, maana hapa nadhani punguzo la kodi ni kama 4500 tu.
 
Slow mental evolution is to blame for low IQ we have.
Nasikia Nkrumah alikuwa kwenye Mgahawa London amekaa anakunywa chai. Akaingia mwanamke na mtoto wake wakakaa meza ya karibu. Mtoto wa kizungu akaona kitu cheusi. Nkurumah akaongea na mwenyeji wake. Mtoto akasema, " mammy, it talks", hawakujali,; Nkurumah akachukua kikombe kunywa chai, mtoto akasema Mammy see it, drinks!! Mama akamuomba Nkrumah radhi kuwa ndio madhara ya ukoloni kuwafundisha kuwa Africa kuna nyani, it talks, it drinks!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa kutumia mfano wa 3,800, zidisha mara watu 2,500,000 halafu mara 12 ndio utajua ni punguzo kiasi gani. Halafu jaribu kusema hiyo gap utaziba na nini wakati huo huo kuna wabunge wanataka serikali hiyo hiyo irudushi warsha na semina?

Hivyo nyie ADC mnapendekeza nini?


Hiyo hesabu ni upande wa serikali, mtoa mada kauliza huyo aliyepunguziwa 3800 inamsaidia nini kwenye maisha yake?
 
Leo sijaamini nilichokisia masikioni kwangu 9% =3800punguzo la kodi, kumbe huyu rais wetu hana huruma anatuigizia tu nimesikitika sana
 
Kwa kutumia mfano wa 3,800, zidisha mara watu 2,500,000 halafu mara 12 ndio utajua ni punguzo kiasi gani. Halafu jaribu kusema hiyo gap utaziba na nini wakati huo huo kuna wabunge wanataka serikali hiyo hiyo irudushi warsha na semina?

Hivyo nyie ADC mnapendekeza nini?
Ebu acha uzuzu unapunguza kodi ili watu wapate unafuu wa maisha sasa mtu unaongezwa sh.3800 utafanyia nini sukari imepanda bei.
 
Mm ndo maana nilikuwa nashangaa Rais aliposema punguzo toka 11%-9% wakati mimi naona aslimia nazokatwa ni nyingi si rahisi ziwe hzo alizotaja Rais. Bado kichomi kipi palepale mbaya zaidi hata mshahara hajaongeza. Hamna rangi tutaacha ona mwaka huu.
 
Mm ndo maana nilikuwa nashangaa Rais aliposema punguzo toka 11%-9% wakati mimi naona aslimia nazokatwa ni nyingi si rahisi ziwe hzo alizotaja Rais. Bado kichomi kipi palepale mbaya zaidi hata mshahara hajaongeza. Hamna rangi tutaacha ona mwaka huu.

TUACHE KULAUMU SANA..KWANI TUCTA KILA WAKATI WAMEOMBA USHIKE TO SINGLE DIGITI.MH RAIS AMETEKELEZA SASA TUNAANZA KUMLALAMIKIA RAIS AS IF VIONGOZI WAMEPEWA AMBACHO HAWAJAOMBA??NADHANI NI JUKUMU LA TIUCTA KUOMBA UPYA KWA BAADAYAE LAKINI WAKATI HUO TUKIOMBA NYONGEZA YA MSHAHARA IANYOOANA NA MAPATAO YA SERIKALI.TUSIJE TUKAJIKUTA TUNAOMBA MSHAHARA UPANDE HALLAFU MAPATO YOTE YANAISHIA KWENYE MISHAHARA NA OC HALAFU HAKUTBAKIZI PESA YA MAENDELEO KAMA MAJI NA BARABARA.LAZIMA HAPA TUCTA IWE NA EVIDENCE ZA KUKONVINCE NA SIYO KUJILIA SIER WAFANYAKAZI HALAFU WANANCHI WENGINE TUNAWASAHAU KAMA WAPO
 
Government inatumiaga calculator zipi? mfano mwalimu wa degree anaanza na D1 ambayo ni tsh716000, kodi ya 11% ukifanya hesabu unapata 78760 lakini salary slip zinasoma 86580. jamani anaeye fahamu anisaidie otherwise am confused totally
 
Back
Top Bottom