Kwa dsm kwa mtaji wako huo wa laki 3 anza na biashara ya kuuza matunda sio ule wa kutembeza kwenye beseni ule una una vishawishi vingi toka kwa sisi wanaume unaweza kukutoa kwenye mstari
1)Tafuta location ya barabarani ambayo utaweza kufanya biashara yako...hakuna malipo wala kodi ila wengine...
Jana kuna boda kapigwa 25k na jamaa ninaemjua...kamwambia amplipie king'amuzi kwa wakala kifurushi cha 25k na amnunulie na maji ya afya lita 12
Baada ya hapo ndio imeisha hiyo kazima na sim ananiambia mjini mipango baada ya dakika 10 tukawa tunacheki gem ya Mashujaa vs Azam
Habari wakuu...
Niende moja kwa moja kwenye mada ni wakati gani utajua biashara unayofanya imekufa au imefilisika...nimejiuliza hili swali kwa nyakati tofauti na nimeshindwa kupata jibu la moja kwa moja ingawa nimepata mawazo yafuatayo
1)Pindi unapotoa pesa yako katika vyanzo vingine vya mapato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.