Miaka mingi kidogo kama 13 iliyopita,mama yake mshikaji Wangu,mitaa ya karakata majani ya chai karibia na uwanja wa ndege,mida ya saa nne asubuhi napita home kwao mshikaji ili nimpe ishu Fulani,nafika namkuta mama yake mshikaji,sebuleni Yuko peke yake namsalimia shikamoo ananijibu,kishikaji...
Katika iyo 50,000 Kuna Kodi zaidi ya 25% pia,,Kuna zaidi ya 25% Tena kama gharama za uendeshaji,biashara ina faida kwa Hali tata sana mpaka uingie ngomani ucheze ndio utaelewa utamu wa mchezo,,mfanyabiashara anataka ukwasi au wanaita CASHFLOW au tuseme EQUITY ili aweze kufanya mambo mengi kwa...
Kula chuma Hiko,,ngumu kumeza lakini ndio dawa hiyo,hukupigao ndio hukufunzao,, shukuru Mungu songa mbele,next time usitangaze kuoa kwa ndoa na harusi wahuni tunakamata unatia mimba anasogea mnaishi mnakuja kufunga ndoa mna watoto wanne keshazeeka hana pa kukimbilia,,,aaah aaah kataa ndoa za mapema
Kuna kijana ana pesa kwa sasa hivi kama kijana chumachachuma,kamcheck pale mjini Instagram,anasumbua watu hapo mjini sinza,hao diamond platnumz na Millard Ayo wakasome......,,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.