Recent content by fitonenendefu

  1. F

    Ushawai ponea chupuchupu? Hivi ndivyo nilivyoponea chupuchupu

    Miaka mingi kidogo kama 13 iliyopita,mama yake mshikaji Wangu,mitaa ya karakata majani ya chai karibia na uwanja wa ndege,mida ya saa nne asubuhi napita home kwao mshikaji ili nimpe ishu Fulani,nafika namkuta mama yake mshikaji,sebuleni Yuko peke yake namsalimia shikamoo ananijibu,kishikaji...
  2. F

    Wasafirishaji mnafanyaje hii biashara??

    Katika iyo 50,000 Kuna Kodi zaidi ya 25% pia,,Kuna zaidi ya 25% Tena kama gharama za uendeshaji,biashara ina faida kwa Hali tata sana mpaka uingie ngomani ucheze ndio utaelewa utamu wa mchezo,,mfanyabiashara anataka ukwasi au wanaita CASHFLOW au tuseme EQUITY ili aweze kufanya mambo mengi kwa...
  3. F

    Anataka tuachane na tayari nimekwishalipa mahari kwao na mipango ya ndoa ipo

    Kula chuma Hiko,,ngumu kumeza lakini ndio dawa hiyo,hukupigao ndio hukufunzao,, shukuru Mungu songa mbele,next time usitangaze kuoa kwa ndoa na harusi wahuni tunakamata unatia mimba anasogea mnaishi mnakuja kufunga ndoa mna watoto wanne keshazeeka hana pa kukimbilia,,,aaah aaah kataa ndoa za mapema
  4. F

    Madee my brother, pole sana kwa issue ya picha mbaya za binti yako

    Alafu madee ni muislamu yule jamaaa
  5. F

    Ukweli mchungu: Kama unaishi Tanzania halafu wewe ni maskini huna akili timamu

    Vipi forex na cryptocurrency Bado unaendelea kufanya mzee sanda ali
  6. F

    Kipindi unafurahia kulipwa mshahara mkubwa wakuanzia mil 3-5, basi tambua kuna watu nchi hii wanalipwa mpaka mil 13-27 private sector

    Wewe misso misondo,umepigaje hapo? Ebu tupe details kidogo inakuwaje hapo investment inayompa mtu 200 m kwa mwezi
  7. F

    Dark days 17/03/20

    Huu Uzi fiksi nyingiii kinoma ila ni za kweli
  8. F

    Vegetarian tukutane hapa

    Hapa nimekaa na watoto wangu tunasubiria wifey anakaangiza pilau na nyama za kukaanga SWAAAFIII
  9. F

    Dark days 17/03/20

    Aisee sio mchezo
  10. F

    Inawezekana Millard Ayo anaingiza pesa nyingi kuliko Diamond Platnumz?

    Kuna kijana ana pesa kwa sasa hivi kama kijana chumachachuma,kamcheck pale mjini Instagram,anasumbua watu hapo mjini sinza,hao diamond platnumz na Millard Ayo wakasome......,,,,,
Back
Top Bottom