Kula chuma Hiko,,ngumu kumeza lakini ndio dawa hiyo,hukupigao ndio hukufunzao,, shukuru Mungu songa mbele,next time usitangaze kuoa kwa ndoa na harusi wahuni tunakamata unatia mimba anasogea mnaishi mnakuja kufunga ndoa mna watoto wanne keshazeeka hana pa kukimbilia,,,aaah aaah kataa ndoa za mapema