Recent content by fisitembo

  1. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ananifanyia vituko ila nikitaka kumuacha anatishia kujiua

    Huyu amegeuzwa chuma ulete na familia nzima,baba yake na mama yake usikute wanamaisha magumu,na wao ndiyo waliomfikisha hapo alipo
  2. F

    JamiiForums Tanzania Ulafi na uroho wa vyakula ni tabia ya asili?

    Ukiwa Mchoyo usiwe Mrafi
  3. F

    JamiiForums Tanzania Hongera Lissu kwa kuiteka na kuishinda hofu

    Hata Magufuli nazani amegundua Dogo alikuwa anamuharibia,wengi wanaisapoti Chadema sababu ya huruma,mateso yalizidi
  4. F

    JamiiForums Tanzania Hongera Lissu kwa kuiteka na kuishinda hofu

    Ngoja nikupe siri ndugu Yangu,hii dunia inaendeshwa na Mungu.Musa alitumwa akawaokoe wana wa Israeli kutoka kwa mkatili farao Mwenye jeshi kubwa. Mungu hakumpa Musa Pesa wala siraha,alimpa miujiza tu.Leo najifunza kitu,kujiuzulu kwa bashite ni mpango wa Mungu kumsafishia njia Lissu,Wenye akili...
  5. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu akirithi tabia ya mama yake, tutashindwana

    Sasa ndugu Yangu unazani ktk tabia hizo zote mkeo ashindwe kurithi hata moja,Basi atakuwa hajamtendea haki mama yake
  6. F

    JamiiForums Tanzania Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa

    Mambo ya Mwenyezi Mungu yamepokwa na mwanaadamu dhalili aliyeumbwa kwa manii.ndiyo maana yana maswali mengi kuliko majibu
  7. F

    JamiiForums Tanzania Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa

    Wakristo wanaishi kimatabaka sanaa, hata ukiwa kapuku usitarajie kama utapata cheo kanisani, hawana tofauti na CCM
  8. F

    JamiiForums Tanzania Tuuache utamaduni wa kumfanya Marehemu kuwa wa maonesho

    Uislam uliyoyaimiza ndiyo aliyoyaimiza Mwenyezi Mungu,Marehemu akifa haagwi,ni watu wachache watakaoenda kumsafisha kumuogesha na kumstiri.hazikwi na jeneza wala nguo,na kaburi lake halijengelewi yaani yafaa lipotee kabisa kusiwepo na kumbukumbu ili watu wasije kuingia kwenye zambi kuanza...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni kwamba CHADEMA hawawezi kumdhibiti Tundu Lissu, anafanya anachotaka

    Kwani watu huwa wanalazimishwa kwenda masibani, yaani niache kwenda kumpokea Lisu niende uwanja wa Uhuru, kweli CCM mnatuona mabwege sana
  10. F

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu endapo CHADEMA wakikuzingua tu ingia Act Wazalendo

    Siamini kama Nyarandu anaweza kuwa mgombea wa Chadema,kwa lipi alilolifanya?kama kweli Mbowe atamtosa Lissu,Basi yote anayosingiziwaga yatageuka ukweli.Remember NCCR na Mrema
  11. F

    JamiiForums Tanzania Muongozo: Mapokezi ya Lissu

    Hivi kwa nini ukiwa CCM lazima uwe na roho mbaya,Muuaji,msema uongo,hutendi haki,ni zaidi ya mchawi,kama huamini angalia michango ya wana CCM inavyomzungumzia Tundu lisu,yaani ni zaidi ya makaburu kipindi kile cha ubaguzi wa rangi
  12. F

    JamiiForums Tanzania GE2020 Napinga viongozi wa dini kukutana kwa lengo la kuelezea kinachoitwa mafanikio ya Rais Magufuli, hii ni kampeni na haikubaliki

    Bakwata ni Tawi la CCM, iko kwa ajili ya maslai ya kuwakandamiza waisilamu. Shekhe wetu ni shekhe ponda nao wengine sio
  13. F

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane: Tuliowahi kuachwa na mabasi wakati wa safari

    Upande wa Tanzania ni kasumulu border wilaya ya kyela mkoa wa Mbeya,na upande wa Malawi ni Songwe border au wilaya ya karonga mkoa wa Mzuzu
  14. F

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane: Tuliowahi kuachwa na mabasi wakati wa safari

    DAR to LILONGWE unapitia kyela au kasumulu border
  15. F

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane: Tuliowahi kuachwa na mabasi wakati wa safari

    2002 Tumekutana na Jamaa Yangu Magomeni,guest nimesahau jina,tulipotezana naye kama miaka 3 hivi,wacha tupige pombe,wakati huo Nina tiketi ya Basi la TAQWA Dar-lilogwe.Jamaa akaniambia ataniamsha kuona kalewa sana,kesi tukamuuzia mlinzi ndiye atakayeniamsha...
Back
Top Bottom