Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
- Thread starter
- #41
Mtu kesha kufa hajui lolote linaloendelea duniani anapataje na kuona heshima unayosema? Hizo ni mbwe mbwe tu za sisi tulio hai kutaka sifa ya msiba mkubwa lakini mwisho wa siku ni kumezwa na ardhi.
Anataka kujifa
Anataka kujifananisha na Mzee Mkapa anadhani ni mtu wa kawaida kama yeye...watu kama Mzee Mkapa hawazaliwi kila siku wala hovyohovyo anaweza kuzaliwa mmoja baada ya miaka kadhaa ....amuache apate heshima yake anayostahili