Mkuu toa ushauri ili ufanyiwe kazi, nchi ni yetu sote si ya Magufuli na waziri wake, kwa pamoja tutaweza kufikia malengo tarajiwa. Hata hivyo hongera kwa kuchangia, wahusika wataona na kuchukua hatua stahiki.
Mkuu, asante kwa elimu, swali langu ni; nini kinasababisha mtu kusahau vitu au kupoteza kumbukumbu na wakati hajawahi kuanguka au kupata ajali na kujigonga kichwani?.
Mwanaume asiyejitambua ni shida. Halafu bila aibu anasimulia bila haya, amekuwa wa maana kisa anasimamia biashara za dubwana, mimi nilijua amepata kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.