Recent content by finn miles

  1. F

    JamiiForums Tanzania Bashe: Upinzani itendeeni haki Demokrasia mliyopewa, msitengeneze uhalali wa wahafidhina

    "Kwahyo hyo anaweza kuuza bandari naakiambiwa anaweza kukasirika awafukuze nchi?" Hiyo Ni nukuu tu msije kunifukuza sinapakwenda mim
  2. F

    JamiiForums Tanzania Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

    Nikweli, mim Ni musislam nanashindwa keelewa Hii kujitetea kwenye uislam kumetokea wapi
  3. F

    JamiiForums Tanzania Jifunze namna Urusi alivyokwamisha "counteroffensive" ya Ukraine

    Nahiyo niliyozungumza hapo nilugha nyepesi mno, Qatar nabaadhi ya nchi zakiarabu zinahela uchumi wao uko vzur nahela yao inathamani Zaid yadola Ila uwezo wao wakivita ukoje?? Biashara ya majeans haiwezi kukupa uzoefu wowote kivita nimambo tofauti kabisa, Vita niutaalam wambinu namipango, uzoefu...
  4. F

    JamiiForums Tanzania Uthibitisho wa uwepo wa roho na ulimwengu wa roho ni ndoto

    Nipumba tupu umeandika hapo, umeungaunga maneno. Kwakifupi REM nilile wenge analopata mtu kabla yakupata usingizi yaan kma kusinzia. Hakuna mtu anaweza kupata Hilo wenge baada masaa mawili ya usingiz. Acheni kujitia ujuaji mwingi
  5. F

    JamiiForums Tanzania Jifunze namna Urusi alivyokwamisha "counteroffensive" ya Ukraine

    Kuuza simu bodaboda jeans vinamahusiano gani nauhodari wavita??? Hitler alivokula kichapo Russia alikua anauza kitu gani kwani??
  6. F

    JamiiForums Tanzania Milioni tano naweza pata wazo gani la kufungua biashara

    Imagine hio ni intro la bonge ya series, afu mweka hazina ambaye nifounder pia anafake kifo ili auhujumu huo mradi nakupiga hela, Bonge la idea
  7. F

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje mtu kafiwa na mama yake lakini haoneshi huzuni wala kulia?

    Nimefiwa siku zakarbuni tu namzazi, hakuna mahali popote nilikua nalialia wakat nahangaikia Mambo yamazishi. Sio rahis kma mwanaume kulia mbele zawatu, kula au kutokula haina uhusiano wowote nanafsi kuumia Story za ucheshi kutabasam niinakua kma cover yakucontrol hisia zamajonzi. Nimiezi sita...
  8. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemwambia jamaa yangu hili suala akae alitafakari. Hajaelewa. Hajiulizi kwa nini Iwe hivi kwa Wakwe na Mashemeji zake.

    Mwabie jamaa ako akuoe wewe, jamaa unagubu mno
  9. F

    JamiiForums Tanzania Nunua mihogo yao lakini kuweni makini sana wanapoomba muwatwishe mabeseni yao kichwani

    Hizi maluuni ndio zinazobaka watoto nawazee kwaimani zakipumbavu
  10. F

    JamiiForums Tanzania SoC02 Baba yangu wa kike anataka kuniozesha ili kurudisha mahari yake

    Mungu amsaidie japo nimeishiwa kusoma heading tuu
  11. F

    JamiiForums Tanzania Mauzauza ndani ya msitu wa Shengena uliopo Wilayani Same

    Miaka ya 90 au 2000 iliwahi kuanguka shengena ikaua watu wote. Ajali ilihusishwa naushirikina watuwakaacha kupanda hayo magari mmliki akaiingia ubia nakampuni nyingine ya mabasi yakabadilishwa jina narangi yakawa yanitwa tashrif
  12. F

    JamiiForums Tanzania Majani haya ni Ngogwe au Biringanya?

    Hizo ni ngogwe
  13. F

    JamiiForums Tanzania Nataka kuigeuza Tsh. 2,000 itengeneze zaidi ya Tsh. Million 1 kila mwezi

    Kuingiza million 1 kwa mwezi sio habari kubwa, habari kubwa nikuaitahitaji capital ya maana Sana hadi kugenerate kias hicho chafaida. Maybe watu wawili/ watatu washare rent nawagawane muda wakukaa dukani, kila mtu awe nabidhaa yake moja ilazote zitakaa dukani at the same time Mfano mmoja...
  14. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

    Asilimia kubwa ya wanaume tz ndio hao waliolelewa kimaskini, ndio hao wanakua rejected, ndio hao ambao fedha ndio kila ktu kwenye maisha yetu, Unajitoa fahamu tuu Ila unajua hii ninchi nimaskini wananchi wake nimaskini hivo vitu mnavokariri kwa tamthilia haviendani kabisa namazingira...
Back
Top Bottom