Habari za jioni, jamani kwa mwenye uelewa naomba anisaidie. Nilitaka kukopa bayport na process karibia zote nikawa nimekamilisha. Wakala wa baypot akaniambia ameshatuma document zangu makao makuu ila wamemwambia atume bank statement zangu ili waendelee na process ya mkopo. Sasa napenda kujua...
Jamani habari yenu wote mnaosoma bandiko hili. Kauli hapo juu niya doctor kwenye hospital moja kubwa huku mkoani ambayo ni tegemeo la wakazi wote wa wilaya yetu.
Mimi ninachouliza ni kwamba, wagomjwa hawaumwi siku za sikukuu? Na wengine nawaona wako serious kweli,je, wakafie majumbani kwao...
Bwana Yesu asifiwe... Tumsifu Yesu kristo wapendwa... Natumai mu wazima. Kwakweli vifungu hivi vya BIBLIA huwa vinanitia nguvu sana: 1. Niite,nami nitakuitikia,nami nitakuonesha mambo makubwa,magumu usiyoyajua. (Yeremia 33:3) 2...
Poleni kwa pilika za hapa na pale jaman! Kwanza kabisa mi huwa nawashangaa watu ambao hawamjui Mungu kuwa yeye ndo mweza wa yote. Ila naomba mnisaidie kwa hili: Hivi ukitumia mamruki(refa) kwa kutoa kitu kidogo ili kupata kazi, je hapo ni Mungu amekusaidia? Au kosa liko wapi kiimani jamani? Ila...
Unajua watu wengi huwa hawajui kitu kimoja, kwamba yai la mwanamke laweza kuwahi au kuchelewa siku 2 kabla au baada ya siku 14 kwa wale wenye mzunguko wa siku 28. Kwa hiyo siku za hatari ni siku 11. Yaani kuanzia siku ya 9 hadi ya 19. Nafikiri umenielewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.