Mwaka 2004 niliachishwa kazi bila sababu ya msingi na wale waajiri wangu pale New Afrika hoteli..niliwaza mengi lakini at last nilichukua ile experience kama challenge,Mungu ana mipango ktk kila kitu,nilikaa kijiweni kwa mwezi na kitu,siku niliamka nikaenda internet cafe nikafanya application kwenye hoteli moja maarufu duniani(Burj al Arab-Dubai)bila usumbufu waliniita!!mkataba ulikuwa mzuri sana salary ya mwezi ilikuwa almost mara tatu niliyokuwa napata pale New Afrika hoteli.Nilipokwenda Tz likizo wa kwanza kumtafuta alikuwa HR DIRECTOR wa New Afrika maana alinifungulia mlango aliponiachisha kazi pale NA..Niliowaacha pale bado wana life ya kuungaunga tu!!!hivyo chukulia hiyo kama challenge