Habari yenu ndugu natafuta dada wa kazi za ndani awe bint kuanzia miak 18-22 ,sina mtoto naishi kweny nyumb yangu mshahara ni alfu arobaini
Lengo la kusaka dada wa kazi ni kwamba nachoka kufany kaz za kazn na nyumbn pia nachelew kulud nyumbn
Kaz za apa ni kufyagia,kupika kulisha kuku basi...