Recent content by filis

  1. filis

    JamiiForums Tanzania Kumbe MwanaHaki wa JF alishafariki?

    Rest in peace mom
  2. filis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hata kama maisha ni magumu lakini sio hivi

    Dah Safi sana kudadeki iyo ndio akili [emoji13] [emoji13]
  3. filis

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu za kujikinga na wezi kariakoo. Nimechomolewa wallet ina elfu 80/-

    Ila mi pesa nawekaga kweny mifuko ya sidiria kweny mkoba najaz vipodozi tu
  4. filis

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu za kujikinga na wezi kariakoo. Nimechomolewa wallet ina elfu 80/-

    [emoji13] [emoji13]
  5. filis

    JamiiForums Tanzania Ni ipi fursa ya mtu wa IT au computer science?

    Unaweza kuomba ajila vituo vya afya ukawa mchukua takwimu kitengo cha CTC
  6. filis

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wiz khalifa unaitwa see you again
  7. filis

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu za kujikinga na wezi kariakoo. Nimechomolewa wallet ina elfu 80/-

    Mi nilinunua nguo vi brauz nilivion vzr kweli pale banana tu ukonga cha ajabu Kila nikichagua nazid kuzion nzuri mno nikanunua mzigo mzima brauzi 45 ivi kwajil ya kuvaa nikatoa pesa kufik home uwez amini brauz zote ni manyalunyalu wakat nilizijalibu afu nikashtuka why nimenunua brauz nying ivi...
  8. filis

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu za kujikinga na wezi kariakoo. Nimechomolewa wallet ina elfu 80/-

    Hahahahaha my footage u cracking my ribs
  9. filis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miguna Miguna on board Emirates plane enroute to Dubai

    Kenya inakiua sheria za Haki za binaadamu not fear
  10. filis

    JamiiForums Tanzania Nauza njiwa na tausi bei chee

    Nataman kufug njiwa ila wanasababisha /kuvuta negative power in a house
  11. filis

    JamiiForums Tanzania Jiondoe kwenye adha ya kupaka rangi kila mara kwa kutumia materials hizi

    My ntakutafuta nyumbn yngu bado ata linta sijafunga
  12. filis

    JamiiForums Tanzania DADA WA KAZI

    Asante mkuu nitashukuru
  13. filis

    JamiiForums Tanzania DADA WA KAZI

    Habari yenu ndugu natafuta dada wa kazi za ndani awe bint kuanzia miak 18-22 ,sina mtoto naishi kweny nyumb yangu mshahara ni alfu arobaini Lengo la kusaka dada wa kazi ni kwamba nachoka kufany kaz za kazn na nyumbn pia nachelew kulud nyumbn Kaz za apa ni kufyagia,kupika kulisha kuku basi...
  14. filis

    JamiiForums Tanzania Ujasusi ndani ya Al Shabaab: Faiz & Bakshwein, double agents waliouawa kikatili

    Du ni atari kinyama walahi hizi story tamu naomba ingine dah umenifanya nime m-miss Yule kaka the bold
Back
Top Bottom