Recent content by Filaria

  1. Filaria

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Nyinyi wote mnaandaliwa kuicheza Ngoma kama ilee ya 2015.
  2. Filaria

    JamiiForums Tanzania Kwa kigezo hiki, Mbappe atashinda Ballon d'Or mwaka 2026?

    Hawa uliowataja wangekua kizaz hki wangesumbua sana.
  3. Filaria

    JamiiForums Tanzania Onyo kwa Wanaojifanya Waokozi wa Ukoo

    Kuna ndugu washenz watakufanya hata ushindwe kwenda zako!
  4. Filaria

    JamiiForums Tanzania Kwanini Messi anachukiwa sana, aliwakosea nini wanadamu? Je, chanzo ni kipaji chake au kuna jingine?

    Sema tu mu argentina maana wa Argentina wote ni discendants wa Italian na spain
  5. Filaria

    JamiiForums Tanzania Onyo kwa Wanaojifanya Waokozi wa Ukoo

    Atakaebisha anakaa kwa ndugu.
  6. Filaria

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

  7. Filaria

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mim nmeleta official data kutoka wizara ya afya ya Kenya wewe unapinga. Uko sawa kwel?
  8. Filaria

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Total : Vituo vya afya ni 17000. Tafuta mwenyewe Percentage % Ikumbukwe hz CHUs ni level 1.
  9. Filaria

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Leta source inayosema Tanzania Kuna madaktari 2000.
  10. Filaria

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda hii kutoka X. Watanganyika tukitafakari, kila mmoja kwa dhamira yake

    Siku huyu mama atamaliza ataondoka, tutabaki na mbegu ya chuki tunayoipanda.
  11. Filaria

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mhhh! Kuna dalili ya upigaji hpa🤔
  12. Filaria

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Sisimizi akiwa ndani ya meli kubwa atajua kama meli inatembea🤔
  13. Filaria

    JamiiForums Tanzania Kuadimika kwa Vipepeo, Mara ya mwisho kuona kipepeo lini ?

    Kulikua na wadudu zamani waliitwa balale ng'ombe, wanakaa kwenye michongoma. Hao ndio rasmi wamepotea
  14. Filaria

    JamiiForums Tanzania Siku hizi ujanja ni kutafuta Azam Tv ya Burundi au Malawi

    Umeanza na mzanibar ukaja na muislamu mpaka kwa mwanamke. Mbona kama unachuki ya muda mrefu?
Back
Top Bottom