Recent content by Filaria

  1. Filaria

    NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Sisimizi akiwa ndani ya meli kubwa atajua kama meli inatembea🤔
  2. Filaria

    Kuadimika kwa Vipepeo, Mara ya mwisho kuona kipepeo lini ?

    Kulikua na wadudu zamani waliitwa balale ng'ombe, wanakaa kwenye michongoma. Hao ndio rasmi wamepotea
  3. Filaria

    Siku hizi ujanja ni kutafuta Azam Tv ya Burundi au Malawi

    Umeanza na mzanibar ukaja na muislamu mpaka kwa mwanamke. Mbona kama unachuki ya muda mrefu?
  4. Filaria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wavunja kuni
  5. Filaria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Leo chama langu Simba kwa mkopo namm😂
  6. Filaria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Usiombe ujinga ukutane na confidence😂
  7. Filaria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Uliza ndug zako wa kibera walilipia? Incase hauishi huko.
  8. Filaria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Sis hatupo kwenye stage ya kuprove uwezo wa kujaza uwanja. Nyiny jaeni tu hata kwa ticket za bure, hatuna wivu😂
  9. Filaria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Upo related pia na umaskin usijisahaulishe.
  10. Filaria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Omba omba wote mmewakana uraia Dah! 😅
  11. Filaria

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Yan hawa wakenya wetu sijui Wana shida gan, tuna waletea ushahid wote kutoka Twitter, YouTube, sites mbalimbali kuonyesha tunajua kilichotokea kwenye mechi yao dhidi ya Drc lakn wanavyojifanya hawaelewi kama vile hawakuwepo kwenye malori ya bure🚮
Back
Top Bottom