Recent content by fidelis zul zorander

  1. F

    Kwa zama hizi kupata msichana bikra ni kubahatisha

    Zipo Hadi huku makazini mkuu , ni wewe tu
  2. F

    Ulaji wa mafuta Toyota Premio

    Utakuja kukaanga gari mkuu.. Mara ya mwisho umefanya service lini ? Gari haina engine oil hiyo.
  3. F

    Ulaji wa mafuta Toyota Premio

    Muwe mnanunua gari za cc 990 to 1290, huwezi kuona hawa watu wakilalamika mafuta.
  4. F

    Taja rafiki ambaye alifariki dunia mapema sana na huwezi kumsahau!

    Poleni sana wakuu! Mwenyezi Mungu atuepushe na premature death .
  5. F

    Kalala vema anaona kabisa vizuri ila kaamka ni kipofu. Nini Tatizo?

    Amourosis fugax . Kwa lugha rahisi ni aina ya kiharusi , inaweza ikawa ni temporary tu ila mara nyingi ni dalili ya impending larger stroke Akamuone daktari wa mishipa ya ufahamu (Neurologist)
  6. F

    Msaada: Uume unauma kwa ndani na kutoka majimaji

    We fala si ulisema hutapiga kavu tena??….ona sasa ushaukwaa tena, utakuja kufa kimasihara…Acha uzinzi!!
  7. F

    Naomba ushauri ili nifanye maamuzi sahihi

    Hapo ulipoanza na “hellow guys” nikajua mtoa mada atakua ni demu!
  8. F

    ONYO: Sina connection yoyote ya kazi, sitaki usumbufu PM

    Tangia uzire ile story yako yakusadikika Kule jukwaa la habari mchanganyiko , umekua kijana wa hovyo!
  9. F

    Usiporipoti kituo cha kazi, unaweza kuomba tena ajira hiyo hiyo?

    Mkuu wasikutishe, as long as hujaenda kuchukua check number then hakuna shida ! Unanafasi nyingine ya kujaribu tena na ukapangiwa! Ila kuna watu wengi umewakosesha hiyo nafasi, ambao wanahuitaji zaidi yako!
  10. F

    Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

    Vijana mnafujo sana ! Hizi ajira zitoke tu mmalize hizi kelele kwenye hili jukwaa!
  11. F

    Car4Sale Natafuta gari aina ya Toyota Vits ya Milion 3

    Mtafute jamaa anaitwa jacktan safaris huko Instagram utapata gari unayotaka kwa hiyo bei
Back
Top Bottom