Car4Sale Natafuta gari aina ya Toyota Vits ya Milion 3

Mkudisingo

JF-Expert Member
Mar 26, 2014
421
122
Natafuta gari aina ya Vits napatikana Dodoma bei mil 3 Nichek what'sup 0758214251.Asante
Note: gari iwepo dodoma na bei nilioweka ni fixed haipandi haishuki .
 
Natafuta gari aina ya Vits napatikana Dodoma bei mil 3 Nichek what'sup 0758214251.Asante
Utakuwa unashinda nayo garage kwa bei hiyo, kuna teacher alinunua gari design hiyo, asubuhi unamkuta nje ya nyumba yake yuko smart anasubiri wanafunzi waisukume, akifika shule anakuja fundi, anatoa wanafunzi darasani wakaisukume mpaka iwake, jioni kabla hawajatawanyika lazima awe na wanafunzi wa kuisukuma, siku moja break fluid ilikuwa imevuja yote yeye hana habari, watoto walisukuma gari ikawaka kama kawaida, ila haikusimama ikaenda kuishia mtoni, naye alinusurika kifo alichunika vibaya baada ya kuruka
 
Utakuwa unashinda nayo garage kwa bei hiyo, kuna teacher alinunua gari design hiyo, asubuhi unamkuta nje ya nyumba yake yuko smart anasubiri wanafunzi waisukume, akifika shule anakuja fundi, anatoa wanafunzi darasani wakaisukume mpaka iwake, jioni kabla hawajatawanyika lazima awe na wanafunzi wa kuisukuma, siku moja break fluid ilikuwa imevuja yote yeye hana habari, watoto walisukuma gari ikawaka kama kawaida, ila haikusimama ikaenda kuishia mtoni, naye alinusurika kifo alichunika vibaya baada ya kuruka
nimecheka mbele za watu kiasi wanajiuliza nimewaona na nini mpaka nicheke
 
Utakuwa unashinda nayo garage kwa bei hiyo, kuna teacher alinunua gari design hiyo, asubuhi unamkuta nje ya nyumba yake yuko smart anasubiri wanafunzi waisukume, akifika shule anakuja fundi, anatoa wanafunzi darasani wakaisukume mpaka iwake, jioni kabla hawajatawanyika lazima awe na wanafunzi wa kuisukuma, siku moja break fluid ilikuwa imevuja yote yeye hana habari, watoto walisukuma gari ikawaka kama kawaida, ila haikusimama ikaenda kuishia mtoni, naye alinusurika kifo alichunika vibaya baada ya kuruka
Ticha hakuwa na ufahamu na magari iko wazi
 
Hivi mnaonaje mkaacha kuchangia post sizizo wahusu???
Hayo mambo ya kukatishana tamaa sio mazuri kabisa
Mwenye hiyo gari atamtafuta na kumpa bei wataelewana tatizo liko wapi?
Hawamkatishi tamaa ila wanashare uzoefu ili awaepuke matapeli
 
Sikuandika popote naomba kushare uzoefu , nilisema natafuta vits ya milion 3
Kuwa na subira. Milioni 3 unapata VITS mashine kabisa! Yaani haina hata kipengele. Wachukulie tu poa hao wanao kutisha na kukukatisha tamaa.

Bila shaka hawajui thamani ya hiyo pesa kwa sasa.
 
Utakuwa unashinda nayo garage kwa bei hiyo, kuna teacher alinunua gari design hiyo, asubuhi unamkuta nje ya nyumba yake yuko smart anasubiri wanafunzi waisukume, akifika shule anakuja fundi, anatoa wanafunzi darasani wakaisukume mpaka iwake, jioni kabla hawajatawanyika lazima awe na wanafunzi wa kuisukuma, siku moja break fluid ilikuwa imevuja yote yeye hana habari, watoto walisukuma gari ikawaka kama kawaida, ila haikusimama ikaenda kuishia mtoni, naye alinusurika kifo alichunika vibaya baada ya kuruka

 
Natafuta gari aina ya Vits napatikana Dodoma bei mil 3 Nichek what'sup 0758214251.Asante
Note: gari iwepo dodoma na bei nilioweka ni fixed haipandi haishuki .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom